Ole wako unichomeshe mahindi... sitacheza tena na weweHahahahaha
Ukifika nistue
Nimepata majibu, hana stamina. Kidume kinafanya yote ila kunako 6x6 hawezi chochote, unaishia kuguna tu, hata hivyo vyombo anavyoosha na kufua havikupi furaha..teeh, nimewaza tu dada sky..
Dah...na mimi nimejiuliza sana....muda wa kufanya hayo anaupata wapi wakati tunakesha naye baa





Dah...na mimi nimejiuliza sana....muda wa kufanya hayo anaupata wapi wakati tunakesha naye baa
Sent using Jamii Forums mobile app
Doohh sasa kama anajifulia, anapasi, makolokolo yote ulosema anayafanya.
Huo muda anaupataje?? Au ikifika weekend ndio anafua nguo zooote alizofaa, na kunyoosha nguo zote atakazovaa, na muda huohuo aende sokon n.k ?.au ye kila asubuhi akiamka ndo ananyoosha nguo,, za kwenda job??
Huyu mumeo ni Bachela?? Yaan anaishi kivyake naww unakaa kivyako??? Tuseme sasa ndio anakuja weekend kwako anafanya hayo??
Nakama mnakaa pamoja, naww unaacha kabisa afanye?? Hata km ni uzingu, Obama anampenda mkewe sababu anamfanya apendeze nakumpunguzia majukumu.
Infact, Majukumu yako niyapi ? Umeyaacha ?!
Daaaahhh hii noma, kuna kusifia, ila hapa umepitiliza mkuuu .haya yanaitwa Mapenzi machoni mwa watu,, lkn ndani sasaaaaa, ni Mungu nipe uvumilivu .
Ni m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata nikichelewa sina wasiwasi kuwa atakuwa na njaa.
Nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe. Ni msafi na anapenda vitu vikae katika mpangilio. Hajali hata kukiwa na wageni anaosha vyombo vyote baada ya kula.
Siku za likizo kwenda kusalimu ndugu na jamaa nauli ni juu yake kwa familia nzima.
Lakini ana upande wa pili pia. Maua yote si mawaridi.[/Qhe
You mean he cleans clothes,he does dishes you mean he cleans plates and cups and sufurias, A BIG NO FOR ME,first i dont do work which i can pay someone to do, 2 for sure you allow him to clean dishes while you have guests, AJABUNi m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata nikichelewa sina wasiwasi kuwa atakuwa na njaa.
Nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe. Ni msafi na anapenda vitu vikae katika mpangilio. Hajali hata kukiwa na wageni anaosha vyombo vyote baada ya kula.
Siku za likizo kwenda kusalimu ndugu na jamaa nauli ni juu yake kwa familia nzima.
Lakini ana upande wa pili pia. Maua yote si mawaridi.
Afu usiwe na wasiwasi wa mm kuwa na ID mpya bali nakuelewa vzr nawe wanifahamu vzr sn tu, sema nilikuwa nimechezea ban zaidi ya wiki 2 zilizopita hv Mama.
Utacheza tu hakuna mkate mgumu kwenye chaiOle wako unichomeshe mahindi... sitacheza tena na wewe

Ama kweli shimo la panya halizibwi kwa mkate.... leo nimeaminiUtacheza tu hakuna mkate mgumu kwenye chai![]()
Mnaharibu uzi wa watu sababu ya wivu tu... kwani nyie mmekatazwa kuweka avantary zenu kama za Tecno?