Huyu ndiye mume wangu

Huyu ndiye mume wangu

Ni muhimu sana kwa wanandoa yaani mume na mke wafahamu majukumu yao katika familia
Bila kusahau kutoa msaada panapo tokea dharura maana dharura haziepukiki
Lakini isiwe nongwa kukusaidia majukumu yako siku moja tu ndio unigeuze bushoke
 
Nimepata majibu, hana stamina. Kidume kinafanya yote ila kunako 6x6 hawezi chochote, unaishia kuguna tu, hata hivyo vyombo anavyoosha na kufua havikupi furaha..teeh, nimewaza tu dada sky..

Unaweza shangaa he is a beat in bed na anafanya hayo kumpoza mkewe.😁😁😁😁
 
Doohh sasa kama anajifulia, anapasi, makolokolo yote ulosema anayafanya.

Huo muda anaupataje?? Au ikifika weekend ndio anafua nguo zooote alizofaa, na kunyoosha nguo zote atakazovaa, na muda huohuo aende sokon n.k ?.au ye kila asubuhi akiamka ndo ananyoosha nguo,, za kwenda job??

Huyu mumeo ni Bachela?? Yaan anaishi kivyake naww unakaa kivyako??? Tuseme sasa ndio anakuja weekend kwako anafanya hayo??

Nakama mnakaa pamoja, naww unaacha kabisa afanye?? Hata km ni uzingu, Obama anampenda mkewe sababu anamfanya apendeze nakumpunguzia majukumu.


Infact, Majukumu yako niyapi ? Umeyaacha ?!


Daaaahhh hii noma, kuna kusifia, ila hapa umepitiliza mkuuu .haya yanaitwa Mapenzi machoni mwa watu,, lkn ndani sasaaaaa, ni Mungu nipe uvumilivu .
 
Shida iliyopo hapa ni kuwa Wanaume wengi sana siku hizi huwa tunapenda kulelewa, na hapa ndipo penye chanzo cha kujikuta tunasimamia hata yasiyotuhusu ktk familia zetu.
Doohh sasa kama anajifulia, anapasi, makolokolo yote ulosema anayafanya.

Huo muda anaupataje?? Au ikifika weekend ndio anafua nguo zooote alizofaa, na kunyoosha nguo zote atakazovaa, na muda huohuo aende sokon n.k ?.au ye kila asubuhi akiamka ndo ananyoosha nguo,, za kwenda job??

Huyu mumeo ni Bachela?? Yaan anaishi kivyake naww unakaa kivyako??? Tuseme sasa ndio anakuja weekend kwako anafanya hayo??

Nakama mnakaa pamoja, naww unaacha kabisa afanye?? Hata km ni uzingu, Obama anampenda mkewe sababu anamfanya apendeze nakumpunguzia majukumu.


Infact, Majukumu yako niyapi ? Umeyaacha ?!


Daaaahhh hii noma, kuna kusifia, ila hapa umepitiliza mkuuu .haya yanaitwa Mapenzi machoni mwa watu,, lkn ndani sasaaaaa, ni Mungu nipe uvumilivu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata nikichelewa sina wasiwasi kuwa atakuwa na njaa.

Nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe. Ni msafi na anapenda vitu vikae katika mpangilio. Hajali hata kukiwa na wageni anaosha vyombo vyote baada ya kula.

Siku za likizo kwenda kusalimu ndugu na jamaa nauli ni juu yake kwa familia nzima.

Lakini ana upande wa pili pia. Maua yote si mawaridi.[/Qhe
Ni m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata nikichelewa sina wasiwasi kuwa atakuwa na njaa.

Nguo zake anafua na kupiga pasi mwenyewe. Ni msafi na anapenda vitu vikae katika mpangilio. Hajali hata kukiwa na wageni anaosha vyombo vyote baada ya kula.

Siku za likizo kwenda kusalimu ndugu na jamaa nauli ni juu yake kwa familia nzima.

Lakini ana upande wa pili pia. Maua yote si mawaridi.
You mean he cleans clothes,he does dishes you mean he cleans plates and cups and sufurias, A BIG NO FOR ME,first i dont do work which i can pay someone to do, 2 for sure you allow him to clean dishes while you have guests, AJABU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom