Huyu ndege anaitwaje?

Huyu ndege anaitwaje?

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,139
Nawaona Sana huku ziwani.
IMG_20200402_150521.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu kuna mahali nilimwona kwa ushamba wangu nikaogopa kushuka kwenye gari nikaona huyu hana usalama anaweza nichangamkia nilishuka nakukimbilia dukani kununua soda ila hata nilikua sina mpango wa soda.


Qn
 
anaitwa Marabou Stork,huyu ni maarufu kwa kua shingoni kwake anamfukao(gullar sac) ambao anaweza weka mifupa mikubwa kabisa na kumwagia nyongo kwa muda mfupi ikasagika yote,

ni mkubwa pia,kwa hivyo huo mfuko una rahisisha digestion,

sasa sina hakika kama hilo jina ndo limechukuliwa uarabuni au wapi

#Stayhome safe COVID-19 is everywhere
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu kuna mahali nilimwona kwa ushamba wangu nikaogopa kushuka kwenye gari nikaona huyu hana usalama anaweza nichangamkia nilishuka nakukimbilia dukani kununua soda ila hata nilikua sina mpango wa soda.


Qn
kituko, dume unakimbia ndege tena mjini.
 
Back
Top Bottom