Huyu ndege anaitwaje?

Hawa waliletwa mikoa ya kaskazini kupunguza uchafu.. hatimaye wamekula hadi yamejazana wengine wamefika hadi kahama

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo zamani kidogo :cool: niliwahi kwenda Ziwa Manyara kulikuwa na ndege wengi wenye miguu myembamba kama hao ila wenyewe walikuwa weupe sa sijui ndio jamii ya hao, mana walikuwa wengi mnoo?
 
Hapo zamani kidogo :cool: niliwahi kwenda Ziwa Manyara kulikuwa na ndege wengi wenye miguu myembamba kama hao ila wenyewe walikuwa weupe sa sijui ndio jamii ya hao, mana walikuwa wengi mnoo?
😁😁😁😁 zamani kidogo eee. Hahah inawezekana ndio wakawa jamii moja
 
😁😁😁😁 zamani kidogo eee. Hahah inawezekana ndio wakawa jamii moja
Hahahaaaa. Ndio zamani kidogo.;)

Itakuwa hivyo mana tofauti yao ni hayo madude yananing'ing'inia hapo kwenye koo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom