donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
- Thread starter
- #41
Huyu kuna mahali nilimwona kwa ushamba wangu nikaogopa kushuka kwenye gari nikaona huyu hana usalama anaweza nichangamkia nilishuka nakukimbilia dukani kununua soda ila hata nilikua sina mpango wa soda.
Qn
Kiingereza anaitwa Marabou Stork na kwa kilatini/scientific name ni Leptoptilos crumenifer . Wengi sana kanda ya ziwa hawa ndege
Hapo zamani kidogo niliwahi kwenda Ziwa Manyara kulikuwa na ndege wengi wenye miguu myembamba kama hao ila wenyewe walikuwa weupe sa sijui ndio jamii ya hao, mana walikuwa wengi mnoo?Hawa waliletwa mikoa ya kaskazini kupunguza uchafu.. hatimaye wamekula hadi yamejazana wengine wamefika hadi kahama
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh!!Huyu kuna mahali nilimwona kwa ushamba wangu nikaogopa kushuka kwenye gari nikaona huyu hana usalama anaweza nichangamkia nilishuka nakukimbilia dukani kununua soda ila hata nilikua sina mpango wa soda.
Qn
Mwanaume wa dar huyo mzee baba.kituko, dume unakimbia ndege tena mjini.
Pale Salanda wasafiri wa treni wamelishwa sana nyama yake,hahah nazinguaHapana mkuu kama bwawani sawa sio ziwani
Sent from my iPhone using Tapatalk
😁😁😁😁 zamani kidogo eee. Hahah inawezekana ndio wakawa jamii mojaHapo zamani kidogo niliwahi kwenda Ziwa Manyara kulikuwa na ndege wengi wenye miguu myembamba kama hao ila wenyewe walikuwa weupe sa sijui ndio jamii ya hao, mana walikuwa wengi mnoo?
Hahahaaaa. Ndio zamani kidogo.😁😁😁😁 zamani kidogo eee. Hahah inawezekana ndio wakawa jamii moja
Hahaha! Lugha za kibantu hizo mkuu.
Pale Salanda wasafiri wa treni wamelishwa sana nyama yake,hahah nazingua
Hahahaaaa. Ndio zamani kidogo.
Itakuwa hivyo mana tofauti yao ni hayo madude yananing'ing'inia hapo kwenye koo.
Ndio mkuu kipindi cha kuandaa mashamba ya mpunga yankuwa mengi.Trekta likipita yanakuja kukamata panya na nyoka.Mi mara ya kwanza niliogopa ndo mara ya kwanza kuliona.Ila njaa ilipokaba pia lina mafuta nami nkalitafuna.