Jina lake linafanana na jina la kiongozi mkuu wa nchi ya wanyonge
Usjali mkuu, hiyo ni kawaida kwa wanaume wa huo mkoa maana wengine wanaogopa hata mjusi...tehHuyu kuna mahali nilimwona kwa ushamba wangu nikaogopa kushuka kwenye gari nikaona huyu hana usalama anaweza nichangamkia nilishuka nakukimbilia dukani kununua soda ila hata nilikua sina mpango wa soda.
Qn
Tanzania kuna makabila mengi sana.
Ndege mwarabu (Marabou
Sent from my iPhone using Tapatalk
Wewe Umekulia kanda ya ziwa
kituko, dume unakimbia ndege tena mjini.
Hapana kitu kigeni hua kinatisha na likoromeo lake kubwa hivyo alafu linajiamin hata alikimbii mm nikaona nijiongeze.Usjali mkuu, hiyo ni kawaida kwa wanaume wa huo mkoa maana wengine wanaogopa hata mjusi...teh
Sent using Jamii Forums mobile app