Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,235
- 5,332
Duuh simjui aisee halafu ana mironjo, hivi ulishawahi kumuona kabla ya hapa JF?Hahahaaa. Lol.
Hivyo fundi chuma ndio jina lake au ndio uko kama mimi tu humjui hata anaitwaje?😅😅
Duuh simjui aisee halafu ana mironjo, hivi ulishawahi kumuona kabla ya hapa JF?Hahahaaa. Lol.
Hivyo fundi chuma ndio jina lake au ndio uko kama mimi tu humjui hata anaitwaje?😅😅
Hapana aisee sijawahi.Duuh simjui aisee halafu ana mironjo, hivi ulishawahi kumuona kabla ya hapa JF?
Sawa nitakutafutia mmoja kwa ajili ya supu au unasemaje Shadeeya?Hapana aisee sijawahi.
Tanzania kuna makabila mengi sana.
Kwa kabila letu tunamwita korona
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa ziwa manyara sio wakubwa ivyo pia wale sio wachafu kama huyo ni tofauti kabisa wa ziwa manyara ni waoga ila hyo si unaona kuna mwamba hapo juu alitelekeza mpaka gari kakimbilia kwa mangiHahahaaaa. Ndio zamani kidogo.
Itakuwa hivyo mana tofauti yao ni hayo madude yananing'ing'inia hapo kwenye koo.
Sio ndio korongo huyu?
Huyu anaonekana hana hata woga na mana hata alivyofotolewa anaonekana hana habari kwani angekuwa mwoga angesha paa zake.Wa ziwa manyara sio wakubwa ivyo pia wale sio wachafu kama huyo ni tofauti kabisa wa ziwa manyara ni waoga ila hyo si unaona kuna mwamba hapo juu alitelekeza mpaka gari kakimbilia kwa mangi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu kipindi cha kuandaa mashamba ya mpunga yankuwa mengi.Trekta likipita yanakuja kukamata panya na nyoka.Mi mara ya kwanza niliogopa ndo mara ya kwanza kuliona.Ila njaa ilipokaba pia lina mafuta nami nkalitafuna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Lol.Sawa nitakutafutia mmoja kwa ajili ya supu au unasemaje Shadeeya?
Aisee hahahahaHuyo ni ndege JOHN