Tusemeni tu ukweli ndege wanatupita akili na maarifa baadhi ya sisi binadamu?

Tusemeni tu ukweli ndege wanatupita akili na maarifa baadhi ya sisi binadamu?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,620
Reaction score
59,971
Tuanze ba uaminifu ndege wengi Huunda couple za muda mrefu, na baadhi yao hubaki na mwenza mmoja kwa miaka mingi au maisha yote. Mfano hata njiwa ambao wanajulikana kwa mahusiano ya kudumu..hapo tukubali maadili wametupita

Tuje kwenye ujenzi ona bila ya shule ya uhandisi wala kuwa na vifaa vya kisasa, ndege wanajenga viota vyao imara kwa kutumia nyasi, vijiti, matope na hata nyuzi ndogo. Kila ndege ana style zake za kipekee.sema tu kwa kuwa wadogo na hawajafundishwa chochote tunachukulia simple

Kwenye kulea sasa wazazi wa ndege hutumia muda mwingi kutafuta chakula, kulinda mayai na kuwafundisha watoto wao kuruka na kujitegemea. Wengine hubadilishana zamu ya kuatamia mayai kwa wiki kadhaa ila binadam anakuchoka hata kama kakuzaa akiamua anakuacha utajua mwenyewe.

Ndani ya viota kuna ishu ya usafi ndege wengi huondoa kinyesi na taka kwenye viota vyao ili kuzuia magonjwa na kuvutia maadui. Hii ni tabia ya kushangaza sana kwa viumbe wadogo.ila Luna baadhi ya binadam anaishi na makopo ya mkono hata week ndani mwaka..

Kuna wale ndege wahamiaji husafiri maelfu ya kilomita Bara mpaka Bada bila GPS na bado hurudi sehemu zilezile kila mwaka. Inasemekana wanatumia jua, nyota na uga wa sumaku wa dunia kujielekeza.

Kwenye memory sawa labda tunawapita ila kum uka baadhi ya kunguru wanaweza kutumia zana, kukumbuka sura za watu waliowadhuru na hata kufundishana maarifa ndani ya kundi.


Kuna wale penguan dume linaweza kusimama kwa miezi kadhaa likilinda yai katika baridi kali huku likisubiri jike lirudi kutoka kutafuta chakula ila binadam anaweza hata kumkataa mwanae.

Sema na wenyewe sio wakamilifu pia. Wana tabia za kutuvutia kama uaminifu, ushirikiano na malezi bora ya watoto, lakini pia wana tabia za hivyo kama vita, udanganyifu kama cuckoo mjinga sana yule me ana nikera anavyoachia ndege wamlelee mtoto wake na wakati mwingine ukatili kama kuna ndege dah wanaua watoto wadhaifu so ktk ulimwengu wa wanyama kuna mchanganyiko wa sifa nzuri na kasoro kama ilivyo kwa binadamu I mwisho wa siku ukituliza kichwa kabisa ndege wanapita akili baadhi ya binadamu na ndo maana sidhani kama kuna ndege vichaa ila kwetu tuna mirembe yetu kumbuka..
 
Mi nafikiri wewe ndo wamekushinda akili!, unafananishaje ujenzi wa kiota na ujenzi wabinadamu ambao umeambatana na vitu vingi mno ambavyo vinadumu kwa muda mrefu na hutumiwa katika matumizi mbalimbali. Bila elimu utujengee daraja tu ambalo litakaa miaka 50 au zaidi na usijali vitu vya uzito gani vitapita hapo!, ujenzi wa binadamu unavitu vingi vyakuangalia na ndio maana kunahitajika ujuzi.

Kimaarifa na ustaarabu hauwezi kumlinganisha kiumbe chochote hapa duniani na binadamu.
 
Tuanze ba uaminifu ndege wengi Huunda couple za muda mrefu, na baadhi yao hubaki na mwenza mmoja kwa miaka mingi au maisha yote. Mfano hata njiwa ambao wanajulikana kwa mahusiano ya kudumu..hapo tukubali maadili wametupita

Tuje kwenye ujenzi ona bila ya shule ya uhandisi wala kuwa na vifaa vya kisasa, ndege wanajenga viota vyao imara kwa kutumia nyasi, vijiti, matope na hata nyuzi ndogo. Kila ndege ana style zake za kipekee.sema tu kwa kuwa wadogo na hawajafundishwa chochote tunachukulia simple

Kwenye kulea sasa wazazi wa ndege hutumia muda mwingi kutafuta chakula, kulinda mayai na kuwafundisha watoto wao kuruka na kujitegemea. Wengine hubadilishana zamu ya kuatamia mayai kwa wiki kadhaa ila binadam anakuchoka hata kama kakuzaa akiamua anakuacha utajua mwenyewe.

Ndani ya viota kuna ishu ya usafi ndege wengi huondoa kinyesi na taka kwenye viota vyao ili kuzuia magonjwa na kuvutia maadui. Hii ni tabia ya kushangaza sana kwa viumbe wadogo.ila Luna baadhi ya binadam anaishi na makopo ya mkono hata week ndani mwaka..

Kuna wale ndege wahamiaji husafiri maelfu ya kilomita Bara mpaka Bada bila GPS na bado hurudi sehemu zilezile kila mwaka. Inasemekana wanatumia jua, nyota na uga wa sumaku wa dunia kujielekeza.

Kwenye memory sawa labda tunawapita ila kum uka baadhi ya kunguru wanaweza kutumia zana, kukumbuka sura za watu waliowadhuru na hata kufundishana maarifa ndani ya kundi.


Kuna wale penguan dume linaweza kusimama kwa miezi kadhaa likilinda yai katika baridi kali huku likisubiri jike lirudi kutoka kutafuta chakula ila binadam anaweza hata kumkataa mwanae.

Sema na wenyewe sio wakamilifu pia. Wana tabia za kutuvutia kama uaminifu, ushirikiano na malezi bora ya watoto, lakini pia wana tabia za hivyo kama vita, udanganyifu kama cuckoo mjinga sana yule me ana nikera anavyoachia ndege wamlelee mtoto wake na wakati mwingine ukatili kama kuna ndege dah wanaua watoto wadhaifu so ktk ulimwengu wa wanyama kuna mchanganyiko wa sifa nzuri na kasoro kama ilivyo kwa binadamu I mwisho wa siku ukituliza kichwa kabisa ndege wanapita akili baadhi ya binadamu na ndo maana sidhani kama kuna ndege vichaa ila kwetu tuna mirembe yetu kumbuka..
Ndio Sababu Ya Kujiita ndege JOHN ?!
 
Mi nafikiri wewe ndo wamekushinda akili!, unafananishaje ujenzi wa kiota na ujenzi wabinadamu ambao umeambatana na vitu vingi mno ambavyo vinadumu kwa muda mrefu na hutumiwa katika matumizi mbalimbali. Bila elimu utujengee daraja tu ambalo litakaa miaka 50 au zaidi na usijali vitu vya uzito gani vitapita hapo!, ujenzi wa binadamu unavitu vingi vyakuangalia na ndio maana kunahitajika ujuzi.

Kimaarifa na ustaarabu hauwezi kumlinganisha kiumbe chochote hapa duniani na binadamu.
Mi nafikiri wewe ndo wamekushinda akili!, unafananishaje ujenzi wa kiota na ujenzi wabinadamu ambao umeambatana na vitu vingi mno ambavyo vinadumu kwa muda mrefu na hutumiwa katika matumizi mbalimbali. Bila elimu utujengee daraja tu ambalo litakaa miaka 50 au zaidi na usijali vitu vya uzito gani vitapita hapo!, ujenzi wa binadamu unavitu vingi vyakuangalia na ndio maana kunahitajika ujuzi.

Kimaarifa na ustaarabu hauwezi kumlinganisha kiumbe chochote hapa duniani na binadamu.
Nakubaliana na wewe kwa muktadha huu👉 ASILI sio ndege tu hata wadudu mfano nyuki je umewahi kuona nyuki akipambana kujifananisha na nzi? Yaani nyuki ashinde jalalani kama nzi Lakini binadamu je? Iyo ni kawaida kabisa utasikia mzazi anamuambia mtoto asome ili aje kuwa kama fulani au jitu Zima Lina role model wake ambapo linamuiga kwa kila kitu.
Asili kwanza
Mdharau asili hufa kikatili
 
Tuanze ba uaminifu ndege wengi Huunda couple za muda mrefu, na baadhi yao hubaki na mwenza mmoja kwa miaka mingi au maisha yote. Mfano hata njiwa ambao wanajulikana kwa mahusiano ya kudumu..hapo tukubali maadili wametupita

Tuje kwenye ujenzi ona bila ya shule ya uhandisi wala kuwa na vifaa vya kisasa, ndege wanajenga viota vyao imara kwa kutumia nyasi, vijiti, matope na hata nyuzi ndogo. Kila ndege ana style zake za kipekee.sema tu kwa kuwa wadogo na hawajafundishwa chochote tunachukulia simple

Kwenye kulea sasa wazazi wa ndege hutumia muda mwingi kutafuta chakula, kulinda mayai na kuwafundisha watoto wao kuruka na kujitegemea. Wengine hubadilishana zamu ya kuatamia mayai kwa wiki kadhaa ila binadam anakuchoka hata kama kakuzaa akiamua anakuacha utajua mwenyewe.

Ndani ya viota kuna ishu ya usafi ndege wengi huondoa kinyesi na taka kwenye viota vyao ili kuzuia magonjwa na kuvutia maadui. Hii ni tabia ya kushangaza sana kwa viumbe wadogo.ila Luna baadhi ya binadam anaishi na makopo ya mkono hata week ndani mwaka..

Kuna wale ndege wahamiaji husafiri maelfu ya kilomita Bara mpaka Bada bila GPS na bado hurudi sehemu zilezile kila mwaka. Inasemekana wanatumia jua, nyota na uga wa sumaku wa dunia kujielekeza.

Kwenye memory sawa labda tunawapita ila kum uka baadhi ya kunguru wanaweza kutumia zana, kukumbuka sura za watu waliowadhuru na hata kufundishana maarifa ndani ya kundi.


Kuna wale penguan dume linaweza kusimama kwa miezi kadhaa likilinda yai katika baridi kali huku likisubiri jike lirudi kutoka kutafuta chakula ila binadam anaweza hata kumkataa mwanae.

Sema na wenyewe sio wakamilifu pia. Wana tabia za kutuvutia kama uaminifu, ushirikiano na malezi bora ya watoto, lakini pia wana tabia za hivyo kama vita, udanganyifu kama cuckoo mjinga sana yule me ana nikera anavyoachia ndege wamlelee mtoto wake na wakati mwingine ukatili kama kuna ndege dah wanaua watoto wadhaifu so ktk ulimwengu wa wanyama kuna mchanganyiko wa sifa nzuri na kasoro kama ilivyo kwa binadamu I mwisho wa siku ukituliza kichwa kabisa ndege wanapita akili baadhi ya binadamu na ndo maana sidhani kama kuna ndege vichaa ila kwetu tuna mirembe yetu kumbuka..
Ni kweli kabisaa ndege John.
Maana hata kulima hawalimi Wala hawafanyi biashara yyte ila wana survive sehemu kama Dar es salamaa
 
Siyo kweli. Ndege hawana Akili Bali Wana tabia za asili tu ndiyo maana maisha na tabia zao ni yale Yale/zile zile miaka nenda miaka rudi.
Wangekuwa na Akili wangekuwa wanafanya vitu vipya (ugunduzi).
eg wangegundua mavazi, nyumba Bora zaidi, matibabu etc.
Hivyo kulinganisha Akili ya binadamu na ndege ni kuwakosea sana heshima binadamu.
 
mkuu ni hivyo tu ndo vimekufanya ukamilishe kuwa ndege wana akili kuliko binadamu? na ukafikia conclusion kabisa ya kujiita ndege paschal...

binadamu ana mambo mengi lukuki ya kustaajabisha.. mengi mnooo
 
Back
Top Bottom