Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,334
- 176,128
Kweli, Ukiwa na gari huwezi kunyimwa number
Tuttyfruity samahani mama kama ni maushauri ushapata ya kutosha. Ukitaka zaidi PM
I think its the best thing they can offer as part of appreciation! Maana zawadi ya maana kwa wengi ni boxer na body spray![]()
Nini shida ten?
🤣🤣🤣🤣HahahaaaaaTranslation
Mwanaume kama unajijua ni mweusi,mrefu,una upara(ule wa kunyoa lakini,sio uwaraza) bila kusahau uwe na ndevu jiongeze hapo for them digits
Kipau(o)mbele kitatolewa kwa atakayeomba mchezo mapema zaidi
Tuttyfruity ningekuwa mie ningeendelea kumsubiri nione atamalizaje na mimi,kama aliomba namba huko kwengine ni suala la muda tu....kuwa mvumilivu
Kwenye proposal ingiza na kipengele cha monopoly maana naona kashakikiuka kwangu na partnership itabidi ife au alipe "fidia" ya breaching of agreement
Sisi hatujisikii hizo feeling kiviile, ndo maana huwa tunawashangaa wenzetuHalafu kumbe mnajuaga kwamba sie na papuchi ni kama lila na filasasa si muwe mnajiongeza.
😁😁😁🤣🤣🤣🤣Hahahaaaaa
Labda itakuwa umenichanganya na Don Nalimison, yule Upcoming Artist.
Basi tuliza mshono mdogo wangu kwani una haraka ya wapi?Ni mapema sana kunitamkia ananipenda ila "I like you, I want to get to know you. Same old drill u know
Mzigo unapewa baada ya ndoaHivi baada ya date ya ngapi ndo unatakiwa kuomba mzigo??
Huyo uliyemtaja hausiki kwa namna yoyote na wewe mbona
😂 Mabaharia waandamizi!2nd date mbona bado ni mapema eti?
1st date dinner lake duluti
2nd date kikwe kuhave fun
3rd date lunch city center kwenye beautiful restaurants
4th date dinner Gran Melia ama Tulia boutique then unaweza niambia ili nianze kujifikiria.
Hahaha what a night mare kwa mabaharia waandamizi.
Okay 😊😊Basi naomba hili swala tuliache, siku ukiniona niambie.
Ila nina uhakika nimeshaacha kabisa hizi mambo.
Tutake radhi.Tatizo la wanawake wa kitanzania wako cheap intellectually dense, .....they can't offer you any thing valuable apart from sex, wanadhani kila mtu anapenda sex tu......
Okay 😊😊
Kuna lugha ambayo mwanamke akitumia inakua haipendezi au sijui ni haijazoeleka, yani ni lugha ya machalii, hata mwanaume akiitumia wakati mwingine unakua unamuweka kwenye kundi la wanaume machalii au unaweza kusema wahu i flani hivi au sijui tueseme inaondoa ile decency ya mtuTeh! Teh!
Ujue romanticism nayo ikizidi ni tatizo lingne? I have a friend, she's super romantic mpaka mwanzoni mwanzoni nikawa nahisi maybe she's lesbian nikawa namkwepa kumbe wala mtoto wa watu ana mahaba yake tu mixer madeko
Lugha hiyo hata mwanaume akiitymia namweka kwenye kundi la wahuni tuNot to you may be mkuu.
Hizi swaga kuna watu ndio wanapenda sasa. Habari za baby baby baby kila saa ni kuibiana tu