Huyu mwanaume simuelewi

Huyu mwanaume simuelewi

Muite kwenu wazazi wako wakiwa hawapo muombe game mtomb*

Yaani wewe ndo ukae juu wanaita be cockrider

Mtombe kwelikweli mpk atoke uoga wa wanawake
 
2nd date mbona bado ni mapema eti?

1st date dinner lake duluti
2nd date kikwe kuhave fun
3rd date lunch city center kwenye beautiful restaurants
4th date dinner Gran Melia ama Tulia boutique then unaweza niambia ili nianze kujifikiria.

Hahaha what a night mare kwa mabaharia waandamizi.
Kazi kwa sisi mabaharia, demu anaomba buku mbili ya bando tu...hola,
Ndo iwe huko Lake Duluti,
Mfukoni una buku dasi ...hizo classic lunch kwa mademu wetu ni ndoto,
Hizo botiki wa kwangu hawazijui...ni viwalo vya buku tatu tatu na wanatoka sexy
...Nahisi bado sijafika middle income level..salamu ziwafikie mliofika uchumi wa kati...
 
Dah!! Sikutarajia huyu manzi ataleta mambo kama hayo public hivi?? Ila sio mbaya, jiandae tukikutana ni mwendo wa kukunjwa kunjwa... Denda kwa sana...

Na lazima pesa zangu nlizotumia karibia week 4 nizienjoy, so itakubidi nipate uroda wa hiyo thamani. Jiandae.
 
Yap lakin siabudu mapenzi napenda rafiki ambaye tukikaa tunajadili mambo ya maana
 
Pole najua una mshawasha na huyo mandevu but vuta subira huwenda naye anaogopa coz wapo wanaume wa sampuli hizo wakutanapo na warembo
 
Hivi nyie akina dada mnataka nini mbona hamweleweki? Angekuomba mzigo siku ya pili tu bado ungekuja kuomba ushauri... Sasa cha kufanya mpeleke hotel ukaanze wewe hapo ndo utapata mawazo yako binafsi nini ufanye.
Umemjubu vema kabisa
 
Muite kwenu wazazi wako wakiwa hawapo muombe game mtomb*

Yaani wewe ndo ukae juu wanaita be cockrider

Mtombe kwelikweli mpk atoke uoga wa wanawake

Umenichekesha sana. Kwann kwetu na sio lodge, hotel au kwake?
 
Niaje wadau. Long time. Mimi mzima kabisa. Mengi yamebadilika since last time I posted here. Anyways tuende direct kwenye mada.

Wiki chache zilizopita nilikutana na mkaka hivi mitaa ya kwetu. He's TALL DARK BALD HAS A BEARD yani in short he's my type. Nilikua natoka jogging nimechoka nikamkuta kapaki mbele ya geti letu ikabidi nimuulize anamsubiri nani pale akanitajia jina la mtu simjui so I had to tell him huyo mtu haishi hapo. Sasa kama ilivyo ada mkikutana na pisi kali lazma muombe namba chalii akaomba buana mm sina hiyana likija kwenye suala la kutoa digits.

Tumechat tumeonana dates za hapa na pale. Juzi dada ake kanialika dinner nikaenda kula msosi ni mtu poa we had chemistry. Wapo wawili tu wazazi wao walishafariki kitambo.

Sasa tatizo nililolileta kwenu huyu chalii ndani ya wiki zote 4 dates zote kaspend pesa nyingi hajawahi hata kunishika mkono achilia mbali kunikiss. I'm trying to go with the flow lakini ustaarabu karibu unanishinda.

Hivi wadau huyu mtu ni muoga, hajavutiwa na mimi au sio riziki? nashindwa kumuelewa kabisa. Ukizingatia sisi sio under 18.

Mnanishauri nifanye nini should I make the first move au niwe cool?

Anyways atakaeniita mzinifu nampiga. Comment za kijumbe sitaki.

Asubuhi njema Watanzania wenzangu.
Angalau ubadirike dah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom