Huyu mwanaume simuelewi

Huyu mwanaume simuelewi

Niaje wadau. Long time. Mimi mzima kabisa. Mengi yamebadilika since last time I posted here. Anyways tuende direct kwenye mada.

Wiki chache zilizopita nilikutana na mkaka hivi mitaa ya kwetu. He's TALL DARK BALD HAS A BEARD yani in short he's my type. Nilikua natoka jogging nimechoka nikamkuta kapaki mbele ya geti letu ikabidi nimuulize anamsubiri nani pale akanitajia jina la mtu simjui so I had to tell him huyo mtu haishi hapo. Sasa kama ilivyo ada mkikutana na pisi kali lazma muombe namba chalii akaomba buana mm sina hiyana likija kwenye suala la kutoa digits.

Tumechat tumeonana dates za hapa na pale. Juzi dada ake kanialika dinner nikaenda kula msosi ni mtu poa we had chemistry. Wapo wawili tu wazazi wao walishafariki kitambo.

Sasa tatizo nililolileta kwenu huyu chalii ndani ya wiki zote 4 dates zote kaspend pesa nyingi hajawahi hata kunishika mkono achilia mbali kunikiss. I'm trying to go with the flow lakini ustaarabu karibu unanishinda.

Hivi wadau huyu mtu ni muoga, hajavutiwa na mimi au sio riziki? nashindwa kumuelewa kabisa. Ukizingatia sisi sio under 18.

Mnanishauri nifanye nini should I make the first move au niwe cool?

Anyways atakaeniita mzinifu nampiga. Comment za kijumbe sitaki.

Asubuhi njema Watanzania wenzangu.
Embu niachie digits bila kusahau Mimi ni mdogo wake gwajimaa
🤣🤣😂😂
 
Niaje wadau. Long time. Mimi mzima kabisa. Mengi yamebadilika since last time I posted here. Anyways tuende direct kwenye mada.

Wiki chache zilizopita nilikutana na mkaka hivi mitaa ya kwetu. He's TALL DARK BALD HAS A BEARD yani in short he's my type. Nilikua natoka jogging nimechoka nikamkuta kapaki mbele ya geti letu ikabidi nimuulize anamsubiri nani pale akanitajia jina la mtu simjui so I had to tell him huyo mtu haishi hapo. Sasa kama ilivyo ada mkikutana na pisi kali lazma muombe namba chalii akaomba buana mm sina hiyana likija kwenye suala la kutoa digits.

Tumechat tumeonana dates za hapa na pale. Juzi dada ake kanialika dinner nikaenda kula msosi ni mtu poa we had chemistry. Wapo wawili tu wazazi wao walishafariki kitambo.

Sasa tatizo nililolileta kwenu huyu chalii ndani ya wiki zote 4 dates zote kaspend pesa nyingi hajawahi hata kunishika mkono achilia mbali kunikiss. I'm trying to go with the flow lakini ustaarabu karibu unanishinda.

Hivi wadau huyu mtu ni muoga, hajavutiwa na mimi au sio riziki? nashindwa kumuelewa kabisa. Ukizingatia sisi sio under 18.

Mnanishauri nifanye nini should I make the first move au niwe cool?

Anyways atakaeniita mzinifu nampiga. Comment za kijumbe sitaki.

Asubuhi njema Watanzania wenzangu.
Daah huyo ana matatizo, ingekuwa ni mimi ungeleta malalamiko humu kuwa nimeku dry mate kitambo
 
Kuna vitu vinatokea watu wengine sisi havitukuti yani

ningekua mimi huyo mkaka nakwambia wee,ungependa.
 
sometimes unaweza tamani mtu awe mpenzi wako ukampenda ile day 1 tu

ila mnayoanza wasiliana unagundua vitu flani flani vinakukinaisha,unaghairi kila kitu

ila kwakua tyr mmeshakua marafiki anakua hana budi kuendeleza urafiki maana si aliutaka mwenyewe.
 
Ningekushauri ila iko katika mfumo wa comment za kijumbe,hata hivyo muda utaongea hao wakishua miksa mambo safi huwa madomo zege na ustaarabu uliopitiliza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom