Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Teh teh.. Sio kwa mahusiano ya siku hizi..Mzigo unapewa baada ya ndoa
Teh teh.. Sio kwa mahusiano ya siku hizi..Mzigo unapewa baada ya ndoa
HahahahahahahaHa ha ha, nimecheka kwa sauti sana.
Dah!
Poleni sana shem.
OoohooooooHapana, tutaweka wazi ili wengine waingie kama wakikubaliana na vigezo na masharti.
Hahahahahahaha
Au nimekosea kaka???
Halafu ratiba za huku lini???
Tuna preferences tofauti tofauti mkuuLugha hiyo hata mwanaume akiitymia namweka kwenye kundi la wahuni tu
Okey okey.Hujakosea kabisa kabisa.
Huko mpaka mwisho wa mwaka, nadhani November hivi.
Hili nalo ni wazo la hekima sana. Kwasababu ukitaka jiuliza unakosa jibu. We umeona waaaapi, umeona waaaapi mwanamke anajua anachokitaka..... Eeeein, we umeona waaapi.....Hivi nyie akina dada mnataka nini mbona hamweleweki? Angekuomba mzigo siku ya pili tu bado ungekuja kuomba ushauri... Sasa cha kufanya mpeleke hotel ukaanze wewe hapo ndo utapata mawazo yako binafsi nini ufanye.
wanatabu sana
Mbona wewe ulisubiri au mahusiano yetu hayakuwa ya siku hizi?Teh teh.. Sio kwa mahusiano ya siku hizi..
Yaan ngekutana na hyo ngefurah sana angekuwa rafik yangu anayenipendeza we unawaza mapenzi tu shwanRaha ya mwanaume hata anivute vute alafu niwe nakataa sasa huyu zero. Story tu
Kausha basi..Usiongee hivi mbele za watu..Ntaonekana boya..Mbona wewe ulisubiri au mahusiano yetu hayakuwa ya siku hizi?
Wewe ni ke mkuu???Yaan ngekutana na hyo ngefurah sana angekuwa rafik yangu anayenipendeza we unawaza mapenzi tu shwan
Kwa hiyo niwe nasemaje? Tulianza kulana kimasihara?Kausha basi..Usiongee hivi mbele za watu..Ntaonekana boya..
Koh koh kohKwa hiyo niwe nasemaje? Tulianza kulana kimasihara?
ShikamooKoh koh koh