Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,976
- 22,409
Amekutamkia kuwa anakupenda? Tujue hilo kwanza
Wewe binti swaga zako aiseeeeHuyu nampa wiki 4 nyingine akiendeleza upadri namuacha😂
AiseeeeeeI think its the best thing they can offer as part of appreciation! Maana zawadi ya maana kwa wengi ni boxer na body spray😂😂😂
AiseeeeeeKwenye starehe usihesabu sh ngapi imetumika, if you can't afford better stay at home.
Kwako baharia si nakujibu tu " sorry Extrovert its too early dear pls take me home, hapo naacha sauti na macho viongee na wewe 😆😆 ....Najua haitokuwa rahisi kwa baharia mkomavu but I'll try my best aisee.
Aisee nielekeze walipo mkuu nikaopoe hata mmoja nione ladha yake katika mapenzi.Aiseeeeee
Msiwadharau ndugu zetu. Mkuu hujakutana na wanawake wanaojielewa
Tukitulia sana ndio kama vile mnatuona sote hamisiHahaha msitufanyie hivyo jamani. Hivi si muwe mnatulia tu mpaka muone na sie tumeonesha vidalili fulani.
Not to you may be mkuu.Wanted to say same thing, she does't sounds romantic
Bora umetutetea..halafu tumetofautiana tuttyfruity amekosa tu uvumilivu lakin huyo mwanaume anaonekana ni the best hana papara.Aiseeeeee
Msiwadharau ndugu zetu. Mkuu hujakutana na wanawake wanaojielewa
Basi tuchkulie kasahau lakini akilini tuweke kajisahaulisha.Bora iwe kusahau aisee, kujisahaulisha itauma zaidi.
Kwa hiyo huamini kama uharamia nimeacha???Wapi crime 😜
Mkasa nimeusikia na uko very interesting. Vipi sijaona bado ushauri wako?
Dada yangu ilitakiwa uombe tiba na siyo ushauri maana wewe una pepo la ngono




Hahahaahahahahahahah.Malengo yakishapishana tu, hapo biashara hakuna.
Navyomwona jamaa ni aina ya watu wanaotafuta mtu wa kutulia naye for good, the guy is trying to take his time.
Ila sasa ameangukia kwenye wrong target.
In crime bro.Nilitaka kupata ufafanuzi, ni partner in which sense?