Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,146
- 190,615
Kwahio uwaraza=pesa!?Sio kweli
Wenzio wanajua wenye uwaraza pesa ipo so najua competition ipo
Halafu wivu ninao sana manake nakuonaga unavyojibebisha kwa wengine lakini naamua kukuacha tu
Kwahio uwaraza=pesa!?Sio kweli
Wenzio wanajua wenye uwaraza pesa ipo so najua competition ipo
Halafu wivu ninao sana manake nakuonaga unavyojibebisha kwa wengine lakini naamua kukuacha tu
Nyingi sana hizo aisee...siku 2 tu uzalendo huwa unanishindaUjana maji ya moto!Wiki nne tu tayari unalaumu kutokupewa mboro!
2nd date mbona bado ni mapema eti?Hahahahah mie ni kama huyo anaelalamikiwa sema tofauti zetu ni kwamba mie lengo lazma niliseme on the 2nd date. Kisha nakuacha ujiongeze sasa.
Malengo yamepishana hapo, mwanaume anataka mpenzi wa muda mrefu, mwanamke anataka mahusiano ya muda mfupi.
Nilishawahi kuachwa eti kisa nachelewa kuomba mzigo.
Noma sana hizi mambo.
Akili ya mwanamke huwa inapenda kitu ambacho haikielewi, sasa ndio huyo jamaa. Sasa ataenda kula kiulaini kabisa.Hahah lol mabaharia bwn
2nd date mbona bado ni mapema eti?
1st date dinner lake duluti
2nd date kikwe kuhave fun
3rd date lunch city center kwenye beautiful restaurants
4th date dinner Gran Melia ama Tulia boutique then unaweza niambia ili nianze kujifikiria.
Hahaha what a night mare kwa mabaharia waandamizi.
Hahaha eti upadriHuyu nampa wiki 4 nyingine akiendeleza upadri namuacha😂
True storyAkili ya mwanamke huwa inapenda kitu ambacho haikielewi, sasa ndio huyo jamaa. Sasa ataenda kula kiulaini kabisa.
Hapo ni 500k roughly spent halafu mwisho wa picha unaniambia eti ndio uanze kunifikiria 😂😂😂!!!?2nd date mbona bado ni mapema eti?
1st date dinner lake duluti
2nd date kikwe kuhave fun
3rd date lunch city center kwenye beautiful restaurants
4th date dinner Gran Melia ama Tulia boutique then unaweza niambia ili nianze kujifikiria.
Hahaha what a night mare kwa mabaharia waandamizi.
Kwahio uwaraza=pesa!?
Hahah hapo sawa, by the way you look beautiful on that image.Wengi wanajua hivyo,sio mimi
Tatizo la wanawake wa kitanzania wako cheap intellectually dense, .....they can't offer you any thing valuable apart from sex, wanadhani kila mtu anapenda sex tu......Niaje wadau. Long time. Mimi mzima kabisa. Mengi yamebadilika since last time I posted here. Anyways tuende direct kwenye mada.
Wiki chache zilizopita nilikutana na mkaka hivi mitaa ya kwetu. He's TALL DARK BALD HAS A BEARD yani in short he's my type. Nilikua natoka jogging nimechoka nikamkuta kapaki mbele ya geti letu ikabidi nimuulize anamsubiri nani pale akanitajia jina la mtu simjui so I had to tell him huyo mtu haishi hapo. Sasa kama ilivyo ada mkikutana na pisi kali lazma muombe namba chalii akaomba buana mm sina hiyana likija kwenye swala la kutoa digits.
Tumechat tumeonana dates za hapa na pale. Juzi dada ake kanialika dinner nikaenda kula msosi ni mtu poa we had chemistry. Wapo wawili tu wazazi wao walishafariki kitambo.
Sasa tatizo nililolileta kwenu huyu chalii ndani ya wiki zote 4 dates zote kaspend pesa nyingi hajawahi hata kunishika mkono achilia mbali kunikiss. I'm trying to go with the flow lakini ustaarabu karibu unanishinda.
Hivi wadau huyu mtu ni muoga, hajavutiwa na mimi au sio riziki? nashindwa kumuelewa kabisa. Ukizingatia sisi sio under 18.
Mnanishauri nifanye nini should I make the first move au niwe cool?
Anyways atakaeniita mzinifu nampiga. Comment za kijumbe sitaki.
Asubuhi njema Watanzania wenzangu.
I think its the best thing they can offer as part of appreciation! Maana zawadi ya maana kwa wengi ni boxer na body spray😂😂😂Tatizo la wanawake wa kitanzania wako cheap intellectually dense, .....they can't offer you any thing valuable apart from sex, wanadhani kila mtu anapenda sex tu......
Tatizo la wanawake wa kitanzania wako cheap intellectually dense, .....they can't offer you any thing valuable apart from sex, wanadhani kila mtu anapenda sex tu......
Huyu nampa wiki 4 nyingine akiendeleza upadri namuacha😂
Sio kweli
Wenzio wanajua wenye uwaraza pesa ipo so najua competition ipo
Halafu wivu ninao sana manake nakuonaga unavyojibebisha kwa wengine lakini naamua kukuacha tu
Js jipe muda
Never make the first move when it comes to Men
Aliweza kuomba namba ashindwe kuomba mchezo?!
Let him do everything first ili u'prove kweli ana interest/he was not coerced into it
Tuttyfruity nawapenda wanaume wa dizain hiyo ambao papuchi kwao siyo kipaumbele.
Stick to that man dada acha ujinga 😆 ama unapendelea wale washirika wa Rikiboy?