Huyu mwanaume simuelewi

Huyu mwanaume simuelewi

Sio kweli
Wenzio wanajua wenye uwaraza pesa ipo so najua competition ipo

Halafu wivu ninao sana manake nakuonaga unavyojibebisha kwa wengine lakini naamua kukuacha tu
Kwahio uwaraza=pesa!?
 
Hahahahah mie ni kama huyo anaelalamikiwa sema tofauti zetu ni kwamba mie lengo lazma niliseme on the 2nd date. Kisha nakuacha ujiongeze sasa.
2nd date mbona bado ni mapema eti?

1st date dinner lake duluti
2nd date kikwe kuhave fun
3rd date lunch city center kwenye beautiful restaurants
4th date dinner Gran Melia ama Tulia boutique then unaweza niambia ili nianze kujifikiria.

Hahaha what a night mare kwa mabaharia waandamizi.
 
2nd date mbona bado ni mapema eti?

1st date dinner lake duluti
2nd date kikwe kuhave fun
3rd date lunch city center kwenye beautiful restaurants
4th date dinner Gran Melia ama Tulia boutique then unaweza niambia ili nianze kujifikiria.

Hahaha what a night mare kwa mabaharia waandamizi.

Utamfilisi
 
2nd date mbona bado ni mapema eti?

1st date dinner lake duluti
2nd date kikwe kuhave fun
3rd date lunch city center kwenye beautiful restaurants
4th date dinner Gran Melia ama Tulia boutique then unaweza niambia ili nianze kujifikiria.

Hahaha what a night mare kwa mabaharia waandamizi.
Hapo ni 500k roughly spent halafu mwisho wa picha unaniambia eti ndio uanze kunifikiria 😂😂😂!!!?

Picha la kutisha kwa baharia. Nikijitahidi sana baada ya 3rd date lunch, ujue tutaelekea kwenye auditing ya vikojoleo bila wewe kuelewa.
 
Niaje wadau. Long time. Mimi mzima kabisa. Mengi yamebadilika since last time I posted here. Anyways tuende direct kwenye mada.

Wiki chache zilizopita nilikutana na mkaka hivi mitaa ya kwetu. He's TALL DARK BALD HAS A BEARD yani in short he's my type. Nilikua natoka jogging nimechoka nikamkuta kapaki mbele ya geti letu ikabidi nimuulize anamsubiri nani pale akanitajia jina la mtu simjui so I had to tell him huyo mtu haishi hapo. Sasa kama ilivyo ada mkikutana na pisi kali lazma muombe namba chalii akaomba buana mm sina hiyana likija kwenye swala la kutoa digits.

Tumechat tumeonana dates za hapa na pale. Juzi dada ake kanialika dinner nikaenda kula msosi ni mtu poa we had chemistry. Wapo wawili tu wazazi wao walishafariki kitambo.

Sasa tatizo nililolileta kwenu huyu chalii ndani ya wiki zote 4 dates zote kaspend pesa nyingi hajawahi hata kunishika mkono achilia mbali kunikiss. I'm trying to go with the flow lakini ustaarabu karibu unanishinda.

Hivi wadau huyu mtu ni muoga, hajavutiwa na mimi au sio riziki? nashindwa kumuelewa kabisa. Ukizingatia sisi sio under 18.

Mnanishauri nifanye nini should I make the first move au niwe cool?

Anyways atakaeniita mzinifu nampiga. Comment za kijumbe sitaki.

Asubuhi njema Watanzania wenzangu.
Tatizo la wanawake wa kitanzania wako cheap intellectually dense, .....they can't offer you any thing valuable apart from sex, wanadhani kila mtu anapenda sex tu......
 
Tatizo la wanawake wa kitanzania wako cheap intellectually dense, .....they can't offer you any thing valuable apart from sex, wanadhani kila mtu anapenda sex tu......

Wewe unapenda nini ndugu mjumbe?
 
[SUP]wanawake hamueleweki. Mkiombwa game mnasema wanaume wana haraka na mnakuja hapa kulalamika, msipoombwa mkichukuliwa easy ndo kama hivo. Kwa iyo lengo lako nini[/SUP]
 
Js jipe muda
Never make the first move when it comes to Men

Aliweza kuomba namba ashindwe kuomba mchezo?!
Let him do everything first ili u'prove kweli ana interest/he was not coerced into it
Tuttyfruity nawapenda wanaume wa dizain hiyo ambao papuchi kwao siyo kipaumbele.
Stick to that man dada acha ujinga 😆 ama unapendelea wale washirika wa Rikiboy?

Gems 💎💎💎
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom