Huyu mwanaume simuelewi

Huyu mwanaume simuelewi

Aisee nielekeze walipo mkuu nikaopoe hata mmoja nione ladha yake katika mapenzi.

Maana mademu wengi wa sasa ni mbigiri 😂😂😂! Demu anataka awe na wewe ili umsolvie mashida yake ukija kumpata mwenye moyo wa kukupa hata boxer unashukuru!
Wapo mkuu believe me.

Kama vipi anzia hapa hapa jukwaani. Unajua kuna vichwa vya maana hapa na watoto na maisha yao sio njaa.

Keep searching bro, he who searches carefully never fails to find
 
shida kubwa ni moja, wadada mnajua kuigiza sana siku za mwanzo za date, huenda unavojiweka kahisi we ni wife matirio hivo hataki kurupuka juu yako, sasa kwa kua kuigiza huchosha ndo maana ushaanza mfikiria vibaya.

wanaume tupo hivi mwanamke tunaemtamani ndo hua tunamshobokea haraka bt tunaempenda hua hatuna haraka maana hua tunahofia kumpoteza, huyo jamaa ni rijali tena siku akikugegeda utaleta hapa mrejesho.
Naunga mkono hoja
 
Teh! Teh!
Ujue romanticism nayo ikizidi ni tatizo lingne? I have a friend, she's super romantic mpaka mwanzoni mwanzoni nikawa nahisi maybe she's lesbian nikawa namkwepa kumbe wala mtoto wa watu ana mahaba yake tu mixer madeko
Na hapo ndio nakupendea sasa.

Hizi habari za romanticism naonaga uduwanzi.

Mtu nawaza hela inaongezekaje wewe kila saa masimu tu hahahahahahaha
 
Hivi nyie akina dada mnataka nini mbona hamweleweki? Angekuomba mzigo siku ya pili tu bado ungekuja kuomba ushauri... Sasa cha kufanya mpeleke hotel ukaanze wewe hapo ndo utapata mawazo yako binafsi nini ufanye.
Jamaa kakutana na kahaba, sasa huenda keshashitukia mchezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom