Jaby'z
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 4,318
- 7,655
Pole sana commandant, kwa experience yangu hapo kuna mwalimu mwenzie anakula mambo au kuna kijamaa kingine tu, huwezi kubadilisha kitu hata kama utaanza upya kutongoza...mpinzani wako kakuzidi kete kubali na achana nae nyapu ziko millioni hata akitaka kukudhulum mwachie tu pesa kitu gani? Amini kuwa malipo mengine ni hapa hapa duniani M/Mungu atamfundisha kitu nna uhakika na hili. Pole sana kaka, kaa na washkaji, ndugu, au ongea na mama...hakika ikiisha siku moja utakua ushamsahau