Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Hakika kiongozi, maana tangu nilivyoamua ku'move on' baada ya kuniacha maumivu yamepoa kabisa!Najua sio "rahisi" ila "inawezekana"
Siku zote grafu ya maumivu baada ya "move on" hupungua ila akiamua kung'ang'ani kuwa kwenye mahusiano ya aina hii ataambuliwa maumivu muda wote kama sio kifo.




mkuu pole sana achana nae tafuta pesa .