Huyu mwanamke nimjibuje?

Huyu mwanamke nimjibuje?

"I DON'T DESERVE YOU".Sijui mtu huwa anawaza nini kusema hivi! kama anakung'ong'a hivi.Roho inauma sana.anyway Bro piga kimya tu,kila mtu alikuja duniani peke yake....
 
da
Moja kwa moja niende kwenye mada,

Kipenzi changu alianza kubadilika ghafla yapata wiki moja iliyopita. Tumekuwa kwenye sintofahamu. Sikuelewa mwenzangu alipatwa na nini, SMS hajibu kwa wakati na pia kila nikimuuliza alikuwa anajibu jeuri, sikuelewa amepatwa na nini.

Niliamua kuwa mvumilivu ili nione labda atabadilika. Ila nimeshangaa kanitumia SMS usiku huu, kama screenshot inayvoonekana hapo chini.

Hii ina maana gani? Nimjibu au nimpotezee?

Ushauri wenu tafadhari, maana nahisi tumbo Joto.

Moja kwa moja niende kwenye mada,

Kipenzi changu alianza kubadilika ghafla yapata wiki moja iliyopita. Tumekuwa kwenye sintofahamu. Sikuelewa mwenzangu alipatwa na nini, SMS hajibu kwa wakati na pia kila nikimuuliza alikuwa anajibu jeuri, sikuelewa amepatwa na nini.

Niliamua kuwa mvumilivu ili nione labda atabadilika. Ila nimeshangaa kanitumia SMS usiku huu, kama screenshot inayvoonekana hapo chini.

Hii ina maana gani? Nimjibu au nimpotezee?

Ushauri wenu tafadhari, maana nahisi tumbo Joto.

View attachment 836200

Dah kwanza pole lakini pili just relux then fuata jinsi alivyokwambia yaani huyo anamaana no more love with you pengine kuna kasababu kadogo sana na ataki kukimention kwako cha msingi kama unaback up yako ya maana ipandishe cheo fasta with carefull na sahau kuhusu huyo mtu atakupotezea muda just move on
 
Inauma saana wakuu, huyu mwanamke nilimuamini saana. Ilifikia kipindi nilimpatia kiasi changu cha ziada cha pesa ninacho pata anisevie... Kama umesoma vizuri hyo screenshot amesema atatuma with no time.. Hapo sijamuelewa kabisa
dah pole sana mkuu ila maisha ndo yalivyo aiseee we potezea tuh and move on ila sasa tusije kuwa kunaongea kumbe umeshika namba kichwani aiseee huwa zinatesa sana
 
Hiyo hela hata akiidai sidhani kama ataipata.

Benki zipo, tigo pesa, mpesa vibubu vipo, halafu unatunzia hela kwa mchuchu!
dah kweli aisee nimeshangaa aisee unampa demu wako hela hakutunzie dah ww umeshindwa tunza hizo pesa aiseeee uyo demu mwizi mfungulie RB
 
Be quite when a person can understand you without any word mtakie kila lenye jema ktk maisha yake na mshukuru kwa kpnd mlichokuwa nae maisha yana siri kubwa mno amabzo weng huwa tunachelewa kuzijua mtu aliyekomaa kimaisha hawez kulizwa na mambo mepesi ya mahusiano go with ur life ktk maisha lzma tuwe aggressive maisha ynahitaji tuwe wababe kiasi kwamba kuna vitu vukishapita viache viende usianze kuvihangaikia hangaikia maisha yako mkuu mambo ya mahusiano ynaongiza kupteza directions za maisha ya vijana wengi
 
muulize pesa unatuma saa ngapi?.....sorry kuna biashara mlikuwa mnafanya pamoja? coz that bitch said atakurudishia!!!
Punyeto raha sana........huhongi,,,,huachwi.....no kalenda......popote ulipo ipo....
Dah we jamaa bhana noumaaa xana aiseee.....popote ipo sio
 
Umeachwa WhatsApp noma sanaaa bola ungeachwa kwa txt za kawaida damn dude angalia tu usije ukatumia vile vi emoji vya kulia , then futa namba yake fanya Mambo yako tena ili kupunguza stress kua na videm vingi kwa sasa fumua mpaka brain yako itakapo kaa sawa
Bro uyo jamaaa inaonesha anampenda xana uyo dada na hata namba yake anayokichwani aisee xaxa utakuta ndo shughuli ipooo xaxa....
 
Dah usiombe uachwe na dem anaejua english inauma sana.mpaka nimetoa machozi kuona hzo text nimekumbk mbali mno mkuu pole sana achana nae tafuta pesa .
Ila maneno ya hiyo dem kam unampenda hutoysahau
Ngj nimalize kulia nitarudi
Hahahaha... umenichekesha kiseng.e aisee... kula like
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom