Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,450
- 25,159
Hahahahaha kapata danga huyo ....yaani wanawake sisi loool.....ukiona mtu anakuja kukwambia nimeona bora tuishie hapa endelea tu na maisha yako ...ujue kabisaaa kapata mwanaume mwingine ...ila shukuru amekwambia kuliko angekuzungusha ...mwache aende


