Huyu mwanamke atanitoa roho

Huyu mwanamke atanitoa roho

Wakati mwingine tunaowapenda hutuacha kwa maumivu ili kumleta aliye bora zaidi, katika vitu namshukuru Mungu ni ex kuondoka maana wangejifanya kuniganda huyu mfalme ningemtolea wapi? Ulaya je ningeijulia wapi? Range ningelisukuma lini? Na vingine vingi, hivyo mkuu piga moyo konde jipe muda mwanamke mwema yuko karibu tu
Rafiki kumbe ni wewe nakuona kila mara unapita na lile li sport, Yesus! Kweli watu mnakula kivulini...
 
Anakupenda? Kama hakupendi haijalishi unampenda kiasi gani au unaumia kiasi gani fanya juu chini umsahau na uachane nae kwa sababu kulazimisha mapenzi ni sawa na kujaribu nguvu ya sumu kwa kuiramba.

People should love don't fall in love because everything that fall get broken.

Wewe hapo ume fall in love ndo maana unateseka sana kwa sababu kumpenda mtu ni pamoja na kuheshimu hisia zake, kama amekwambia akupendi basi achana nae huo ndio upendo, na sio lazima akwambie sometimes hata matendo yake yanakuonyesha tu (there is always a message on how people treats you)

Maumivu yakizidi waone fans wa arsenal wao wamewezaje ku survive because mna share the same pain japo ni different category (I'm just kidding)
 
Back
Top Bottom