Huyu mwanamke atanitoa roho

Huyu mwanamke atanitoa roho

...Jamani Mimi kufanana na baba mbona kheri Sana..Baba Yangu alikua mzuri Sana wa sura na Tabia..(Mwenyezi Mungu amuwei Radhi baba jangu)

Nshampa moyo kaaribu saiv nimeuacha ndo anakumbuka shuka...alikiona Cha Nini..saiv roho mkononi.
Kama alikuona wanini, basi mwambie ntakupata lini ndio nakumiliki....😘
 
Maishani mwangu sikua naamini katika mapenzi kabisa, then nikakutana na huyu mwanamke aliyenibadirisha maisha na fikra zangu. Nampenda kutoka ndani ya moyo, shida huyu mwanamke jamani ananitesa sana. Hali yangu mbaya kuna muda nakaa naona kuna kitu kimepungua then nakumbuka ni yeye naumia moyo nahisi hata pressure ishapanda kwa mawazo maana muda wote unalipuka.

Kama unampenda mtu kwanini usimpende tu?? Mimi naamini hakuna sababu za kuachana na mtu umpendae maana hakuna tatizo lisilozungumzika. Wengine nyie mnawezaje kuwaacha mliowapenda?? Mimi badala nimsahau siku zinavyokwenda ndio nazidi kuteseka na kumkumbuka. Karibia kila nachofanya navyokutana navyo vinanikumbusha penzi lake huyu mwanamke.

Babe please come back nashindwa kuvumilia, si mimi ni upendo ulioujenga ndani yangu Sina furaha kabisa yaani sijui najiona vipi bila weww I really can't take it. I chose you you chose me nikakufanya uwe my everything,my happiness my smile. I love you and I won't give up on you coz you're all what I want i always tell you this.
Tabasamu,sauti na cheko lako nalimiss maana ndio vitu pekee vinavyonipa tabasamu.
Please babe I can't taje it anymore, I need you. You're my achievement I won't give up on you
Ukiachana na mwanamke bila kupoteza muda tafuta mwanamke (rebound girlfriend)mwingine haraka sana kadri uwezavyo. Vinginevyo upweke utakufanya umkumbuke ex wako sana.

Yaani na bado utamlilia sana uyo mwanamke na hatorudi kwako kamwe.
 
...
images%20-%202020-12-10T013336.185.jpg
 
Kama amekuacha mwache aende ukimbembeleza akirudi ndio atakupiga pigo takatifu hautoamini
 
Back
Top Bottom