Huyu mwanamke atanitoa roho

Huyu mwanamke atanitoa roho

Anakupenda? Kama hakupendi haijalishi unampenda kiasi gani au unaumia kiasi gani fanya juu chini umsahau na uachane nae kwa sababu kulazimisha mapenzi ni sawa na kujaribu nguvu ya sumu kwa kuiramba.

People should love don't fall in love because everything that fall get broken.

Wewe hapo ume fall in love ndo maana unateseka sana kwa sababu kumpenda mtu ni pamoja na kuheshimu hisia zake, kama amekwambia akupendi basi achana nae huo ndio upendo, na sio lazima akwambie sometimes hata matendo yake yanakuonyesha tu (there is always a message on how people treats you)

Maumivu yakizidi waone fans wa arsenal wao wamewezaje ku survive because mna share the same pain japo ni different category (I'm just kidding)
IMG-20201206-WA0062.jpg
 
Stupid, kwani huyu dada una copyright nae au? .
Ila bora alivyokuacha mkuu,
Mwanaume unalilia kuliko mdada!? Huu ni umama
Ukikuacha tafuta pisi nyingine tulia
Sio rahisi dogo, i take it That you never been their
 
Sio rahisi dogo, i take it That you never been their
Shida ni mindset, but ni suala la muda tu, watu wanakuja na kuondoka.
Alafu wadada hawependi wanaume wanaolilia na kujibebishabebisha, ndo maana kasepa
Even if you are desperate, usionyeshe
 
Shida ni mindset, but ni suala la muda tu, watu wanakuja na kuondoka.
Alafu wadada hawependi wanaume wanaolilia na kujibebishabebisha, ndo maana kasepa
Even if you are desperate, usionyeshe
Sawa unaweza kua sahihi ila mapenzi hayako hivyo utafika siku moja
 

Very well said 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👍🏽
Wakati mwingine tunaowapenda hutuacha kwa maumivu ili kumleta aliye bora zaidi, katika vitu namshukuru Mungu ni ex kuondoka maana wangejifanya kuniganda huyu mfalme ningemtolea wapi? Ulaya je ningeijulia wapi? Range ningelisukuma lini? Na vingine vingi, hivyo mkuu piga moyo konde jipe muda mwanamke mwema yuko karibu tu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mungu anakuona Mkuu
Mkuu, yule mwali alisababisha nikawa mlevi hadi nikafukuzwa kazi imagine...
Sasa nilikutana nae mwaka jana eneo flani nami kidogo mambo hayakua mabaya sana, binti kachoka kachakaa.... Aliponisemesha nilimwambi "excuse me mother", nikamwambia amenifananisha na yule ni pacha wangu...🤣🤣🤣
 
Haya matatizo kila siku tunawaonya watu usiingie miguu yote miwili sasa ona yanayotokea!
 
Back
Top Bottom