Huyu mwanamke atanitoa roho

Huyu mwanamke atanitoa roho

Mkuu, yule mwali alisababisha nikawa mlevi hadi nikafukuzwa kazi imagine...
Sasa nilikutana nae mwaka jana eneo flani nami kidogo mambo hayakua mabaya sana, binti kachoka kachakaa.... Aliponisemesha nilimwambi "excuse me mother", nikamwambia amenifananisha na yule ni pacha wangu...🤣🤣🤣
😅😅😅
 
Stupid, kwani huyu dada una copyright nae au? .
Ila bora alivyokuacha mkuu,
Mwanaume unalilia kuliko mdada!? Huu ni umama
Ukikuacha tafuta pisi nyingine tulia
 
Back
Top Bottom