Huyu mwanamke atanitoa roho

Huyu mwanamke atanitoa roho

Mimi ni miongoni mwa watu tusioamini existence ya upendo.....

Kinachoomiza watu daily ni MAZOEA mlijiwekea kati ya jinsia moja na nyingine, either ni mawasiliano yenu, kukutana kwenu au vingine vingi


Mfano: ushajiuliza ni kwanini upendo (mazoea) wa mama kwa mtoto ni mkubwa sana kuliko wa Baba? Ni kwasababu mama alipata muda mwingi kukaa na mtoto hivyo ikajenga mazoea (upendo) kuliko kwa Baba.....

Hata kwa upande wa Baba kwa mtoto pia



Wengine tumewahi kuwaacha wapenzi au kuachwa na wapenzi then, still mnakaa nyumba moja(mliopanga) au mtaa mmoja unahisi ni maumivu kiasi gani?

Unachotakiwa kukifanya kama kakuacha sioni sababu ya kungangania kisichokuwepo, kaa, tuliza akili, fanya kama hujawahi kukutana naye au hayupo kabisa


Maisha yataanza kubadilika hatimaye utaweza kurudia hali ya kawaida, penda kufanya vitu ambayo unavipenda kama ni mpira, music, kuchat au kupiga story tafuta eneo utakalo fit ili uweze kuondokana na hiyo hali


Mr. Ben
 
Jipe muda, mpe na yeye muda, naamini muda ukifika atafungua moyo wake atakusikiliza tena, wanawake wakati mwingine tukikasirika jambo huwa tunaweka distance ila hasira zikiisha mambo yanakua sawa

Ila hiyo itatoke tu kama nae anakupenda, kama hana upendo wa dhati na wewe, accept the reality and let it go
Wanawake hamna huruma kabisa
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Maishani mwangu sikua naamini katika mapenzi kabisa, then nikakutana na huyu mwanamke aliyenibadirisha maisha na fikra zangu. Nampenda kutoka ndani ya moyo, shida huyu mwanamke jamani ananitesa sana. Hali yangu mbaya kuna muda nakaa naona kuna kitu kimepungua then nakumbuka ni yeye naumia moyo nahisi hata pressure ishapanda kwa mawazo maana muda wote unalipuka.

Kama unampenda mtu kwanini usimpende tu?? Mimi naamini hakuna sababu za kuachana na mtu umpendae maana hakuna tatizo lisilozungumzika. Wengine nyie mnawezaje kuwaacha mliowapenda?? Mimi badala nimsahau siku zinavyokwenda ndio nazidi kuteseka na kumkumbuka. Karibia kila nachofanya navyokutana navyo vinanikumbusha penzi lake huyu mwanamke.

Babe please come back nashindwa kuvumilia, si mimi ni upendo ulioujenga ndani yangu Sina furaha kabisa yaani sijui najiona vipi bila weww I really can't take it. I chose you you chose me nikakufanya uwe my everything,my happiness my smile. I love you and I won't give up on you coz you're all what I want i always tell you this.
Tabasamu,sauti na cheko lako nalimiss maana ndio vitu pekee vinavyonipa tabasamu.
Please babe I can't taje it anymore, I need you. You're my achievement I won't give up on you
You're blue-pilled simp, you seriously need a red pill and live in reality.
 
Tatizo la kitambi chako hicho ni ile mijivyuku, nilikukuta unanunua pale majengo na vidoti vyako flani vyeupe hapo reception...
Mkuu...Sina vidoti vyeupe reception...utakuwa umenifananisha..
Vyuku Wala sili..wali harage na vutumbua ndo Shiiidah
 
Mapenzi ni siraha ya kunibadirishia mtu mbaya kua mzuri. Naona yananipeleka kua mtu mwingine kabisa ambae sijafikiria kua
Huna haja ya kufanya ubaya wowote.

Lazima ukubali kukubaliana na mambo wakati mwengine mambo yanakwenda tofauti katika maisha.

Hakuna mtu asieumia, lkn wenzako tunakubaliana na matokeo na kujikaza kiume. Ili chuma kitengenezwe lazima kipitie moto, amini baada ya kupitia hali km hiyo ndo utakuwa strong kama chuma.

Shtuka bro
 
We nae na shungi lako si umpee moyo wako mwenzio.


Ndo maana unafanana na baba.
...Jamani Mimi kufanana na baba mbona kheri Sana..Baba Yangu alikua mzuri Sana wa sura na Tabia..(Mwenyezi Mungu amuwei Radhi baba jangu)

Nshampa moyo kaaribu saiv nimeuacha ndo anakumbuka shuka...alikiona Cha Nini..saiv roho mkononi.
 
Back
Top Bottom