Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,053
- 15,515
Bado hujanishawishi..![]()
@yna2 Utaniua we mwanamke
Bado hujanishawishi..![]()
😀😀 Kukuua siwezi mpendwa wangu@yna2 Utaniua we mwanamke
Mkuu, yule mwali alisababisha nikawa mlevi hadi nikafukuzwa kazi imagine...
Sasa nilikutana nae mwaka jana eneo flani nami kidogo mambo hayakua mabaya sana, binti kachoka kachakaa.... Aliponisemesha nilimwambi "excuse me mother", nikamwambia amenifananisha na yule ni pacha wangu...![]()



Kukuua siwezi mpendwa wangu
Mwali, nimekucheki PM.Wakati mwingine tunaowapenda hutuacha kwa maumivu ili kumleta aliye bora zaidi, katika vitu namshukuru Mungu ni ex kuondoka maana wangejifanya kuniganda huyu mfalme ningemtolea wapi? Ulaya je ningeijulia wapi? Range ningelisukuma lini? Na vingine vingi, hivyo mkuu piga moyo konde jipe muda mwanamke mwema yuko karibu tu
Mapenzi Matamu Sana Dear. Kupendwa ni Raha zaidi.
Nimeitika mwali....
😀😀 Wivu ndiyo Upendo lakiniUsinifanyie hivi bwana, nina wivu
Boss,How old are you?Maishani mwangu sikua naamini katika mapenzi kabisa, then nikakutana na huyu mwanamke aliyenibadirisha maisha na fikra zangu. Nampenda kutoka ndani ya moyo, shida huyu mwanamke jamani ananitesa sana. Hali yangu mbaya kuna muda nakaa naona kuna kitu kimepungua then nakumbuka ni yeye naumia moyo nahisi hata pressure ishapanda kwa mawazo maana muda wote unalipuka.
Kama unampenda mtu kwanini usimpende tu?? Mimi naamini hakuna sababu za kuachana na mtu umpendae maana hakuna tatizo lisilozungumzika. Wengine nyie mnawezaje kuwaacha mliowapenda?? Mimi badala nimsahau siku zinavyokwenda ndio nazidi kuteseka na kumkumbuka. Karibia kila nachofanya navyokutana navyo vinanikumbusha penzi lake huyu mwanamke.
Babe please come back nashindwa kuvumilia, si mimi ni upendo ulioujenga ndani yangu Sina furaha kabisa yaani sijui najiona vipi bila weww I really can't take it. I chose you you chose me nikakufanya uwe my everything,my happiness my smile. I love you and I won't give up on you coz you're all what I want i always tell you this.
Tabasamu,sauti na cheko lako nalimiss maana ndio vitu pekee vinavyonipa tabasamu.
Please babe I can't taje it anymore, I need you. You're my greatest achievement I won't give up on you
Wivu ndiyo Upendo lakini
I'm on the way My Darling, I have missed everything about You Sweetheart 🥰💋😘Come here please 😔
😅😅😅Maisha hayana kanuni bwana ushi,Mwali, nimekucheki PM.
Naomba nipige picha na wewe, walau nije niwanyorishe huku Segese wilayani Masalala...😋😋
Mkuu...I'm on the way My Darling, I have missed everything about You Sweetheart 🥰💋😘
Basi sawa...😅😅😅Maisha hayana kanuni bwana ushi,
Jipe muda, mpe na yeye muda, naamini muda ukifika atafungua moyo wake atakusikiliza tena, wanawake wakati mwingine tukikasirika jambo huwa tunaweka distance ila hasira zikiisha mambo yanakua sawaMaishani mwangu sikua naamini katika mapenzi kabisa, then nikakutana na huyu mwanamke aliyenibadirisha maisha na fikra zangu. Nampenda kutoka ndani ya moyo, shida huyu mwanamke jamani ananitesa sana. Hali yangu mbaya kuna muda nakaa naona kuna kitu kimepungua then nakumbuka ni yeye naumia moyo nahisi hata pressure ishapanda kwa mawazo maana muda wote unalipuka.
Kama unampenda mtu kwanini usimpende tu?? Mimi naamini hakuna sababu za kuachana na mtu umpendae maana hakuna tatizo lisilozungumzika. Wengine nyie mnawezaje kuwaacha mliowapenda?? Mimi badala nimsahau siku zinavyokwenda ndio nazidi kuteseka na kumkumbuka. Karibia kila nachofanya navyokutana navyo vinanikumbusha penzi lake huyu mwanamke.
Babe please come back nashindwa kuvumilia, si mimi ni upendo ulioujenga ndani yangu Sina furaha kabisa yaani sijui najiona vipi bila weww I really can't take it. I chose you you chose me nikakufanya uwe my everything,my happiness my smile. I love you and I won't give up on you coz you're all what I want i always tell you this.
Tabasamu,sauti na cheko lako nalimiss maana ndio vitu pekee vinavyonipa tabasamu.
Please babe I can't taje it anymore, I need you. You're my greatest achievement I won't give up on you
Najua ndioBasi sawa...
Hivi unajua jinsi ya kubadilisha avatar..??