Isenye
JF-Expert Member
- Dec 22, 2024
- 486
- 2,069
Siku chache baada ya Rais Samia kufanya ziara mkoani Ruvuma ikiwemo kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo na kutembelea migodi ya makaa ya mawe ambayo kwa sasa inasemekana na yeye ni mmbia ,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma alipandishwa cheo ghafla kutoka kuwa kanali mpaka kuwa Brigedia General.
Swali ni kwamba huyu mkuu wa mkoa hiki cheo amepandishwa kwa kufuata seniority au ni kapewa zawadi ili aendelee kuyalinda maslahi ya boss wake huko Ruvuma.
Karibuni kwa mjadala.
Swali ni kwamba huyu mkuu wa mkoa hiki cheo amepandishwa kwa kufuata seniority au ni kapewa zawadi ili aendelee kuyalinda maslahi ya boss wake huko Ruvuma.
Karibuni kwa mjadala.