binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,278
- 41,349
Ulisoma sentence ya kwanza ya ile comment yangu ya mwanzo au ulikuwa tu tayari kunipinga?Noo, nothing serious nilitoa kama mfano kuonesha anacho Fanya anakosea, sikumlenga yeye na sijui kuhusu his personal life as hakuniambia.
Na huo si mzaha I was trying to show him where he's seeing an illusion
Weak=no boundaries
Toxic=thinking they can make it alone
Stop thinking that God or some higher forces is coming acha kuwa complacent kama unajua mpasuko the change starts now by changing minds. That's how Martin j Luther King did by just a simple act of giving a speech na hata baba levo na zamaradi wamefanya ivyo
Ndo maana ulikuza ego na yule mwenzako sijui epsy idgaf ukija na mzaha kwenye kitu serious
Nilizungumzia kitu kimoja na hao, na nikasema root cause yake.
Mimi siamini katika kubadili dunia kwa ghafla, sisi feminists bado hatujafanikiwa hata robo kwanini unadhani you can weight your shoulder into changing the society, you alone? Jamii inaona hili kama tatizo? Apart from zamaradi, baba levo, wewe na wengine wachache .
Uliniudhi kuplay gender card, kuna mtu nilimkataza, mimi ni feminist , kama unadhani nawa pinga wanawake kwasababu ya uanawake wao then unakosea by 100, in most cases natetea wanawake na kuwa hold accountable kwenye makosa, ndio maana nilijibu Haya kama masihara, again hili sio la muhimu kwasasa.