Huyu dada ajengewe sanamu lake

Huyu dada ajengewe sanamu lake

Noo, nothing serious nilitoa kama mfano kuonesha anacho Fanya anakosea, sikumlenga yeye na sijui kuhusu his personal life as hakuniambia.

Na huo si mzaha I was trying to show him where he's seeing an illusion


Weak=no boundaries
Toxic=thinking they can make it alone


Stop thinking that God or some higher forces is coming acha kuwa complacent kama unajua mpasuko the change starts now by changing minds. That's how Martin j Luther King did by just a simple act of giving a speech na hata baba levo na zamaradi wamefanya ivyo

Ndo maana ulikuza ego na yule mwenzako sijui epsy idgaf ukija na mzaha kwenye kitu serious
Ulisoma sentence ya kwanza ya ile comment yangu ya mwanzo au ulikuwa tu tayari kunipinga?

Nilizungumzia kitu kimoja na hao, na nikasema root cause yake.

Mimi siamini katika kubadili dunia kwa ghafla, sisi feminists bado hatujafanikiwa hata robo kwanini unadhani you can weight your shoulder into changing the society, you alone? Jamii inaona hili kama tatizo? Apart from zamaradi, baba levo, wewe na wengine wachache .

Uliniudhi kuplay gender card, kuna mtu nilimkataza, mimi ni feminist , kama unadhani nawa pinga wanawake kwasababu ya uanawake wao then unakosea by 100, in most cases natetea wanawake na kuwa hold accountable kwenye makosa, ndio maana nilijibu Haya kama masihara, again hili sio la muhimu kwasasa.
 
Zamaradi..
Katika chapisho lake leo huko Instagram.. Kaongelea namna safari ya mwanaume inakuwa ngumu.

Kaelezea how society na mifumo yake haimfavor mwanaume..

Kaelezea how majeraha yetu hayasikilizwi, how tunapaswa kushow up hata kama nafsi zetu zinaumia
View attachment 3616465
Katika jamii ambayo wanawake wamekua kama silaha ya kuchapa mwanaume mtafutaji Nam appreciate zamaradi kwa kutuheshimisha na kutupa moyo.

Wanawake wenye wisdom namna hii ni rare kuwapata na ni treasure kwa taifa

Na kwa jinsi mambo yalivyo magumu watoto wa kiume wanapaswa wapambaniwe sana... Kuna watu kama kina anko T na wengine wengi mtaani

So zamaradi as always huwa akipost nasikiliza ni mwanamke aliyepevuka huta Kuta anaongelea sijui mme wangu Kani cheat, sijui wanaume ni Mbwa and all that..

Wanawake kuna la kujifunza kupitia huyu mwenzenu sio kila kukicha kutafta namna ya kuwaibia wanaume as how baba levo puts it

View attachment 3616469

Ni hayo tuu, weekend njema
Mwanaume haipendezi kuonewa huruma. Ukipenda kuonewa huruma hapo kuna namna
 
Ulisoma sentence ya kwanza ya ile comment yangu ya mwanzo au ulikuwa tu tayari kunipinga?

Nilizungumzia kitu kimoja na hao, na nikasema root cause yake.
Yap, ulianza vizuri sana. Ila cha kushangaza ile patriarchy uloisema pia nilikwambia it's a misconception!

Ya kuwa kama ni mfumo dume mbona ilikua zamani Enzi za Mababu zettu 30 yrs back but by looking upon them wao ndo ilikua angalau kuliko leo... Leo usawa umeanza kumesh na society na ndo mambo uamezidii kuharibika.

Usawa mnaopigania ndo the source cha haya yote not patriarchy as most people misconstrued.

Mimi siamini katika kubadili dunia kwa ghafla, sisi feminists bado hatujafanikiwa hata robo kwanini unadhani you can weight your shoulder into changing the society, you alone? Jamii inaona hili kama tatizo? Apart from zamaradi, baba levo, wewe na wengine wachache .
Kama huamini ni wewe uliye complacent.. Unafikiri Lisu angekuwa na mentality hii uchafu wa CCM ungejulikana huko mbele, unafikiri bila yeye kujitoa muhanga vita ya ukombozi ingekuwepo leo, unafikiri wa Tanzania wange Pata guts za kuandamana?

Sometimes watu hawa hawa wanao push na kuzomewa na watu wajinga ndo hugeuka kuleta impact... So don't underestimate the power of individual impact, it always compounds..

Jamii huwa inaamshwa na watu, na watu wenyewe ndo hao mnao wazomea, Zamaradi, baba levo, mimi humu, na wengine but we don't give a damn.

Uliniudhi kuplay gender card, kuna mtu nilimkataza, mimi ni feminist , kama unadhani nawa pinga wanawake kwasababu ya uanawake wao then unakosea by 100, in most cases natetea wanawake na kuwa hold accountable kwenye makosa, ndio maana nilijibu Haya kama masihara, again hili sio la muhimu kwasasa
If we don't play gender cards how is it gonna be solved? Like how, hapo ndo utapotea tena bila majibu kama kawaida yako

Una jibu kama masihara? Unajua why? Because it feeds the Godamn ego. Periodt.

Imagine just supporting zamaradi a woman who thrived despite hate Kwan si kila mtu anamadhaifu? Sijui alifanyaje before ila idgaf.
 
Hamna mkuu, ulielewa ila ulikuja na mawazo hasi, huwezi kuwa complacent eti wanaume tumeshazoe?
Babu zako wangeishi maisha unayo ishi leo ungethrive? Ungekuwa na maadili? Familia yako ingekuwa imeungana..? Tuache kuona hii ni kawaida...

Na Ulimsikiliza zamaradi na baba levo kwenye zile clip?
Wewe utakuwa na matatizo kwenye familia yako, mahusiano uliyonayo au kama umeoa basi kwenye ndoa yako!!! Siyo kwa comments unazotoa!!! Siyo bure!!!!
 
Hakuna cha maana ulicho andika hapa! Hii ime result kwa mfumo wa patriarchy au feminists? Acha kuzunguka mbuyu

Kinacho Leta mpasuko sio patriarchy, ni jinsi feminism na wanawake kujiona wanaweza, kujiona kuwa they're not responsible for nurturing a man while he keeps bursting his ass kutafuta familia.
Patriarchy! Kwani mwanamke hapewi fursa sawa na mwanaume? Je usawa na position si mmepewa hapo patriarchy iko wapi?

Umeongelea concept ambayo basically hai exist. Hakuna patriarchy, ni jinsi usawa ambao mmeupigania mnautumia against men, periodt..

Una chuki binafsi na zamaradi kwa sababu anasema ikweli na she built her success despite rumors. Anaakili anajielewa na anajua thamani na position yake kama mwanamke. Wanawake wengi wanamchukia and she says it more often.

binti kiziwi essentially shared your perspective ila huwezi elewa hadi uwezeshwe ndo maana unakimbilia matusi tu. Wewe hakika una changamoto ya akili na inabidi uwezeshwe na utetewe.
 
binti kiziwi essentially shared your perspective ila huwezi elewa hadi uwezeshwe ndo maana unakimbilia matusi tu. Wewe hakika una changamoto ya akili na inabidi uwezeshwe na utetewe.
HIvi unajielewa kabisa wewe? Binti kiziwi kanielewa vizuri sana, ila wewe matako yako yanafata upepo kama anko T. foolish
 
Zamaradi..
Katika chapisho lake leo huko Instagram.. Kaongelea namna safari ya mwanaume inakuwa ngumu.

Kaelezea how society na mifumo yake haimfavor mwanaume..

Kaelezea how majeraha yetu hayasikilizwi, how tunapaswa kushow up hata kama nafsi zetu zinaumia
View attachment 3616465
Katika jamii ambayo wanawake wamekua kama silaha ya kuchapa mwanaume mtafutaji Nam appreciate zamaradi kwa kutuheshimisha na kutupa moyo.

Wanawake wenye wisdom namna hii ni rare kuwapata na ni treasure kwa taifa

Na kwa jinsi mambo yalivyo magumu watoto wa kiume wanapaswa wapambaniwe sana... Kuna watu kama kina anko T na wengine wengi mtaani

So zamaradi as always huwa akipost nasikiliza ni mwanamke aliyepevuka huta Kuta anaongelea sijui mme wangu Kani cheat, sijui wanaume ni Mbwa and all that..

Wanawake kuna la kujifunza kupitia huyu mwenzenu sio kila kukicha kutafta namna ya kuwaibia wanaume as how baba levo puts it

View attachment 3616469

Ni hayo tuu, weekend njema
Wanaume kila siku humu huwa mnajinasibu kuwa mna nguvu, mna pesa, mna maamuzi, ndiyo vichwa vya familia na mna akili kuliko wanawake na wanawake ni kiumbe dhaifu. Haya kulikoni mnataka mtetewe na kuonewa huruma????!!!!!

Huo utetezi na kuonewa huruma mnautaka kutoka kwa nani?
 
Unfortunately, tunapoelekea, sifa ya encouraging figure inazidi kufutika.

Wengi wamekariri kwamba mwanamke lazima awe independent kwa kupambana na mwanaume badala ya kusupport vision ya mwanaume.
Na hapo ndo walipo chezewa akili
 
Better late than never! Wengine wapo kwenye social media miaka yote hawajawahi kusema kitu cha maana hata mara moja.

If it takes her time to realize the truth, at least she’s more conscious than those still stuck in the men are trash loop.

Focus on the message buddy.
Wako triggered mkuu
Usijichoshe kuwaelezea
 
Ana changamoto ya akili huyu.
Kabisa!!! binti kiziwi alimjibu vizuri sana akaelezea jinsi Mfumo Dume yaani Patriarchy ilivyofanya mwanaume anaonekana ana nguvu ya pesa, nguvu ya maamuzi, nguvu ya kimwili, yuko juu kwenye kila kitu yaani kisiasa, kijamii, kiuchumi, kifamilia yaani yuko juu kwenye kila kitu!!!!

Sasa leo huyo mwanaume anataka atetewe na kuonewa huruma na nani?

Lakini mtoa mada de Gunner ameenda kumkandia na kuandika vitu vingine kabisa!!!
 
Back
Top Bottom