de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,792
- 21,410
- Thread starter
- #121
Tuanze na patriarchy Je Unauhakika ipo?Kabisa!!! binti kiziwi alimjibu vizuri sana akaelezea jinsi Mfumo Dume yaani Patriarchy ilivyofanya mwanaume anaonekana ana nguvu ya pesa, nguvu ya maamuzi, nguvu ya kimwili, yuko juu kwenye kila kitu yaani kisiasa, kijamii, kiuchumi, kifamilia yaani yuko juu kwenye kila kitu!!!!
Sasa leo huyo mwanaume anataka atetewe na kuonewa huruma na nani?
Lakini mtoa mada de Gunner ameenda kumkandia na kuandika vitu vingine kabisa!!!
Au unafatiliza tu alicho Sema binti kiziwi ? Mfumo dume si ndo umefifia aubunaelekea mwisho kabisa kwa miaka 20 iliyopita mpka sasa?
Wanawake hampewi nafasi sawa na wanaume? Fursa Je? Umiliki wa ardhi na mali Je?
Tuache kujifanya hatuna macho kuona kinacho endelea na ku support over favoritism inayo mkandamiza mwanaume.
He is to provide, bado yeye huyo huyo agawane pasu kwa pasu alicho tafuta kwa jasho lake na mwanamke, then tena bado aonekane anamkandamiza mwanamke kwa mfumo dume?
Hivi zimo Kweli?