Huyu dada ajengewe sanamu lake

Huyu dada ajengewe sanamu lake

Bado hatuja elewana mpaka sasa

Nature huwa inamajibu yoote na binadamu mwenye elimu psychology anajiona kawa mjuzi kumbe ni Pungu asiye na ego limit! (sijasema mtu hapa)

Hivi niwaulize Swali moja dogo... How did our grandparents live? How did they know how to act? How did they manage kutulea tena unakuta familia inawatoto hata kumi na huwezi sikia komwe la mtu linatoa sauti?

It's because of the simple thing, kila mtu alikua position yake, wanawake hawaku wa diminish walipo kosea bali walikalisha chini kwa kujua he is my leader, he leada, he provides, na mimi kazi yangu ni nurture, kuhakikisha nampa environment nzuri ya yeye kufanya hivyo.. Hiyo ilikua partnership japo kuwa hata wazee wetu hawaku jua hizi terms...

Leo mwanamke kapewa uhuru, kapata kazi, kapata ujuzi... Na yeye anajiona provider, tukasema sawa, haya Fanya na wewe kuchangia kwenye kile tulicho kubali uwe basi ndo wanaanza kulia lia Wtf,?

Mzizi wa fitna uko very clear and clean haihitaji mtu kusoma psychology wala nini..


Unajua mnachekesha sana, yaani mmepewa uhuru kila kitu na bado likija swala la nyie kuprovide mnasema mfumo dume, mabavu, na kutaka kuwa diminish..

Hiki kiumbe haijawahi kuwa sawa, ndo maana mabandiko yanasema mwanaume tumia akili na si psycholojia kuishi nacho
Hapana, uko mbali na ninachojadili mimi.

Pia haujanipa definition ya partnership, kwakuwa yangu ulikataa.
 
Hapana, uko mbali na ninachojadili mimi.

Pia haujanipa definition ya partnership, kwakuwa yangu ulikataa.
Nimekujibu by explanation ambayo utaikimbia because ni ngumu kumeza.

Kama Umesoma nilicho andika ndo jibu na msingi wote
 
Hata huyo mwenye hekima, busara na maarifa bado dominance ya mwanaume inahitajika ili mahusiano yawe stable. Equal partnership unayoiongelea ni illusion, haiwezi kufanya kazi kwenye mahusiano ya mwanaume na mwanamke kutokana na tofauti zetu kibaolojia na saikolojia. Male dominant haina alternative kama tunataka ustawi mzuri wa jamii.
Jamii ya zamani ilikuwa male dominated , sasa kwanini kulikuwa na mivutano hadi kuibuka kwa feminism if i may ask, ikiwa umesema ustawi unapatikana pale tu male anapodominate…….

Na je Patriarchy kama mfumo hamuoni ni lazima ubadilike/uanguke since kila kitu duniani kinachomhusu mwanadamu lazima kibadilike.

Mwanadamu ni mnyama wa mabadiliko…..

(sijasoma comments zote kwahiyo sijajua mlikoanzia, tho ile comment uliyonijibu asubuhi, nimeilike tu sababu sina further argument)
 
Haina definition mpaka unipe explaination?

Unamaanisha nini kukimbia…
Because unajua partnership is a result of psychological trick to make people think they need to show up on things they weren't designed for...

Nimetoa perspective ya wazee wa zamani babu zetu, hatukusikia wanatoa makomwe nje kama kizazi cha leo chenye kimejawa na psychological trash

Kwanza huu mjadala tumesha umaliza soma kwanza hizo comment usipo Pata majibu utarejea
 
Because unajua partnership is a result of psychological trick to make people think they need to show up on things they weren't designed for...

Nimetoa perspective ya wazee wa zamani babu zetu, hatukusikia wanatoa makomwe nje kama kizazi cha leo chenye komejawa na psychological trash

Kwanza huu mjadala tumesha umaliza soma kwanza hizo comment usipo Pata majibu utarejea
Kumbe mmemaliza? Ngoja nikipata muda tena nitasoma, if i will be having something to say.
 
Mkuu kumbuka patriarchy na gender equality siyo scripts tu ni matokeo ya jinsi binadamu anavyofanya kazi kulingana na asili yake.

Unaposema tuwe na ideology moja, unamaanisha nini? Kama ukienda na gender equality 100% kama unavyotaka consistency, maana yake ni kwamba mwanaume anapaswa kuwa na maternity leave kama mwanamke, na mwanamke anapaswa kuenda vitani kama mwanaume.

Uko tayari kukubali consequences za hiyo consistency?

Mkuu unatakiwa ujue jamii haiko stable kwa sababu inajaribu kutumia ideology kupinga biology.

Ukisema tuwe na mfumo mmoja unakuwa unakiri kuwa ideology yoyote inayopingana na uhalisia wa kibiolojia italazimika kutumia nguvu kama unavyosema kuwajibisha ili ifanye kazi.

Je tunataka jamii ya ideological forced labor?
Nafikiri hapa umeongelea kitu kingine kioya mkuu. Najua consequences za idiology zote. Na mimi binafsi ukiniuliza mfumo upi ni sahihi nitakujibu ni patriarchy, kwa sababu hii ilijiinua kwa kufuata natural pattern, haipo theoritical kama hii ya gender equality ambayo dunia inaipigia chapuo.

Lakini neno langu sio sheria. Hata kama mimi naona patriarchy ndio bora zaidi siwezi kusema naishi kafika misingi ya patriarchy wakati jamii imesha-implement gender equality. Nitalazimika kuji-adjust kwenye hiyo hiyo gender equality.

Kwahiyo ninachoongea ni maoni yangu katika kuonyesha nyufa kwenye hii gender equality implementation na kuonyesha jinsi inavyotakiwa kuwa kama tumeamua kwenda nayo. Lakini likija suala la mfumo upi hapo naona ambao hauna vipengere katika utekelezaji wake jibu langu ni patriarchy kwa sababu ni mfumo ambao unapita kwenye natural pattern
 
Jamii ya zamani ilikuwa male dominance, sasa kwanini kulikuwa na mivutano hadi kuibuka kwa feminism if i may ask, ikiwa umesema ustawi unapatikana pale tu male anapodominate…….

Na je Patriarchy kama mfumo hamuoni ni lazima ubadilike/uanguke since kila kitu duniani kinachomhusu mwanadamu lazima kibadilike.

Mwanadamu ni mnyama wa mabadiliko…..

(sijasoma comments zote kwahiyo sijajua mlikoanzia, tho ile comment uliyonijibu asubuhi, nimeilike tu sababu sina further argument)
Hata kipindi cha patriarchy wapo wanawake ambao walitoka nje ya mstari lakini walishughulikiwa vikali sana.

Kwanza lazima uelewe feminism ilipewa go ahead na wanaume wenyewe. Mwanaume asingeruhusu hii kitu hakuna ambacho wanawake mngeweza kufanya.

Ukifuatilia historia ya feminism deep kabisa ni movement ya wanasiasa katika harakati zao za kutaka kura za wanawake. Hakuna kikao cha wanaume kilikaa na kupitisha feminism kama nyie mlivyofanya pale beijing
 
Back
Top Bottom