de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,733
- 21,329
- Thread starter
- #81
Hata Bible imesema mwanamke atavunja ndoa kwa mikono yake mwenyewe. Nurture sio huruma ni care, malezi, pamoja na kuwa kiungo bora for the betterment of the family. Sasa hiyo haipo katika zama hizi za feminismHuruma ni moja wapo ila utapewa ile huruma ya kutiwa moyo tu, kupewa msaada ni mara chache.