Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,510
- 15,990
Uko sawa kabisa mkuu, siyo kama nimepinga hoja yako.Na mimi nikasema tunakumbatia Patriachy lakini Patriachy ina gharama kubwa sana kwa mwanaume. In a bigger picture. Kwanini ninyi mnadhani maumivu ambayo jamii haitaki kuyaona chanzo chake kilikuwa nini, take trouble kutuelewesha….
Wala sikuwa mbali na Zama.
Jamii imetengeneza script ya uanaume ambayo inakataza udhaifu, mwanaume anapopata maumivu, anajifunza kuya-internalize ili aonekane strong.
Hili ndilo linasababisha mental health crisis, Zamaradi aligusia symptom lakini wewe umeingia ndani kwenye root cause.