Huyu dada ajengewe sanamu lake

Huyu dada ajengewe sanamu lake

Alichokiongea kinapaswa kuzungumziwa sana, kuna usemi unasema Patriachy sio tu imewafelisha wanawake bali pia imewafelisha wanaume.

Wanaume mnaikumbatia patriarchy lakini in a bigger picture sijui kama mnafahamu mnachokikumbatia, Matarajio ya jamii juu ya uanaume wa kweli umekuja na gharama kubwa sana.
Conditioning’s na construct zilizowekwa na patriarchy zinaharamisha mtoto wa kiume kuonesha emotions au kusema nimeshindwa au kusema nahitaji msaada, hence mtoto huyu wa kiume anakua na kuwa mwanaume kamili ambaye kuonesha hisia za udhaifu ni mwiko. Impact yake ni kuwa msongo wa mawazo na suicidal rate iko juu kwa wanaume kuliko wanawake. (japo hili pia lina sababu zingine)

Anyways kama mfumo huo unafaida zaidi kwenu then yes, kama sio basi hamna budi kutuunga mkono wazee wa usawa 😅
Labda jamii itaamka na kuanza kuangazia matatizo yanayoikabili jamii yenu ya kiume.


However, Zamaradi naye anahubiri maji wakati anakunywa beer, mtu anayetambua mapambano ya mtoto wa kiume na ugumu wake aliwezaje kumzulumu yule dogo haki zake, dogo alivyofight back na kumuexpose wakaanza kumtishia maisha yeye na mumewe. Unafiki ni tabia ya wajukuu wote wa Nyerere if you know what i mean.
 
A
It's a sad reality that being a provider in this generation is a thankless job.

Tunapigika mtaani, tunaficha maumivu, alafu bado tunaambiwa mwanaume hapaswi kulia.

We need more women who can see the bigger picture like her, big respect to her for being the voice of reason when most women are blinded by social media standards
Ameshakufa mshangazi ndio kagundua leo
 
It's a sad reality that being a provider in this generation is a thankless job.

Tunapigika mtaani, tunaficha maumivu, alafu bado tunaambiwa mwanaume hapaswi kulia.

We need more women who can see the bigger picture like her, big respect to her for being the voice of reason when most women are blinded by social media standards.
Indeed💯 as a society female should embrace their feminine aspect and be an encouraging figure for men working their ass off, to keep roof over their heads and meals on their platter.
 
Zamaradi..
Katika chapisho lake leo huko Instagram.. Kaongelea namna safari ya mwanaume inakuwa ngumu.

Kaelezea how society na mifumo yake haimfavor mwanaume..

Kaelezea how majeraha yetu hayasikilizwi, how tunapaswa kushow up hata kama nafsi zetu zinaumia
View attachment 3616465
Katika jamii ambayo wanawake wamekua kama silaha ya kuchapa mwanaume mtafutaji Nam appreciate zamaradi kwa kutuheshimisha na kutupa moyo.

Wanawake wenye wisdom namna hii ni rare kuwapata na ni treasure kwa taifa

Na kwa jinsi mambo yalivyo magumu watoto wa kiume wanapaswa wapambaniwe sana... Kuna watu kama kina anko T na wengine wengi mtaani

So zamaradi as always huwa akipost nasikiliza ni mwanamke aliyepevuka huta Kuta anaongelea sijui mme wangu Kani cheat, sijui wanaume ni Mbwa and all that..

Wanawake kuna la kujifunza kupitia huyu mwenzenu sio kila kukicha kutafta namna ya kuwaibia wanaume as how baba levo puts it

View attachment 3616469

Ni hayo tuu, weekend njema
Ndivyo ilivyo kwani wewe ndio umekua kupitia chapisho lake?

Hata akiongelea hakuna kitakachobadilika
 
Wanawake wanatupigia kwenye kibwagizo kiitwacho "Mali kwa ajili ya watoto"

Kana kwamba yeye wakati anazaliwa alikuta kajengewa nyumba au mali za kutosha akaanza kutumia,kumbe alihitaji mwanamme amtengenezee life!

Ni kana kwamba wanawake wamezaa walemavu au mapooza ambayo hayawezi kitafuta Hadi watafutiwe kila kitu!

Kumbe ni tamaa zao na ubinafsi wa umiliki wakisingizia watoto kana kwamba hai ni walemavu hawawezi tafuta!

Hatubishani nao tunawaacha nazo tu na kusonga mbele coz Mungu mwenyezi hatunyimi sisi wanaume akili za utafutaji!!
 
Indeed[emoji817] as a society female should embrace their feminine aspect and be an encouraging figure for men working their ass off, to keep roof over their heads and meals on their platter.
Unfortunately, tunapoelekea, sifa ya encouraging figure inazidi kufutika.

Wengi wamekariri kwamba mwanamke lazima awe independent kwa kupambana na mwanaume badala ya kusupport vision ya mwanaume.
 
A

Ameshakufa mshangazi ndio kagundua leo
Better late than never! Wengine wapo kwenye social media miaka yote hawajawahi kusema kitu cha maana hata mara moja.

If it takes her time to realize the truth, at least she’s more conscious than those still stuck in the men are trash loop.

Focus on the message buddy.
 
Alichokiongea kinapaswa kuzungumziwa sana, kuna usemi unasema Patriachy sio tu imewafelisha wanawake bali pia imewafelisha wanaume.

Wanaume mnaikumbatia patriarchy lakini in a bigger picture sijui kama mnafahamu mnachokikumbatia, Matarajio ya jamii juu ya uanaume wa kweli umekuja na gharama kubwa sana.
Conditioning’s na construct zilizowekwa na patriarchy zinaharamisha mtoto wa kiume kuonesha emotions au kusema nimeshindwa au kusema nahitaji msaada, hence mtoto huyu wa kiume anakua na kuwa mwanaume kamili ambaye kuonesha hisia za udhaifu ni mwiko. Impact yake ni kuwa msongo wa mawazo na suicidal rate iko juu kwa wanaume kuliko wanawake. (japo hili pia lina sababu zingine)

Anyways kama mfumo huo unafaida zaidi kwenu then yes, kama sio basi hamna budi kutuunga mkono wazee wa usawa 😅
Labda jamii itaamka na kuanza kuangazia matatizo yanayoikabili jamii yenu ya kiume.


However, Zamaradi naye anahubiri maji wakati anakunywa beer, mtu anayetambua mapambano ya mtoto wa kiume na ugumu wake aliwezaje kumzulumu yule dogo haki zake, dogo alivyofight back na kumuexpose wakaanza kumtishia maisha yeye na mumewe. Unafiki ni tabia ya wajukuu wote wa Nyerere if you know what i mean.

Mkuu, I’m not opposing your views, but I cringe every time nikisikia wanaume wanaomba kutetewa au ndo nishakua sugu 😂
 
Kamjengee wewe hilo sanamu kwa heshima ya wanaume wote na umuoe .....

Hivi yule mmewe aliyemuwekaga kwenye bango kubwa bado wapo ?Anatafuta mileage tu huyo, baada ya kuona hasemwi mitandaoni ! Hivi unajia hawa wenye numbers mitandaoni wanaishi kwa ku Trend?
Mkuu whether anatafuta mileage au la, does that make the reality of men's struggles less true?

Pointi ni kwamba wanaume wanateseka, na hiyo ni fact. Kujadili bango la mume wake hakubadili hiyo hali halisi tunayoishi mtaani.
 
Zamaradi..
Katika chapisho lake leo huko Instagram.. Kaongelea namna safari ya mwanaume inakuwa ngumu.

Kaelezea how society na mifumo yake haimfavor mwanaume..

Kaelezea how majeraha yetu hayasikilizwi, how tunapaswa kushow up hata kama nafsi zetu zinaumia
View attachment 3616465
Katika jamii ambayo wanawake wamekua kama silaha ya kuchapa mwanaume mtafutaji Nam appreciate zamaradi kwa kutuheshimisha na kutupa moyo.

Wanawake wenye wisdom namna hii ni rare kuwapata na ni treasure kwa taifa

Na kwa jinsi mambo yalivyo magumu watoto wa kiume wanapaswa wapambaniwe sana... Kuna watu kama kina anko T na wengine wengi mtaani

So zamaradi as always huwa akipost nasikiliza ni mwanamke aliyepevuka huta Kuta anaongelea sijui mme wangu Kani cheat, sijui wanaume ni Mbwa and all that..

Wanawake kuna la kujifunza kupitia huyu mwenzenu sio kila kukicha kutafta namna ya kuwaibia wanaume as how baba levo puts it

View attachment 3616469

Ni hayo tuu, weekend njema
Sanamu mjengee tu hapo kwenu, Zamaradi si ni yule kichaa anayejiita mfalme? Umeona wapi mwanamke mfalme? Huyo anaweza kumshauri labda mwehu tu
 
Alichokiongea kinapaswa kuzungumziwa sana, kuna usemi unasema Patriachy sio tu imewafelisha wanawake bali pia imewafelisha wanaume.

Wanaume mnaikumbatia patriarchy lakini in a bigger picture sijui kama mnafahamu mnachokikumbatia, Matarajio ya jamii juu ya uanaume wa kweli umekuja na gharama kubwa sana.
Conditioning’s na construct zilizowekwa na patriarchy zinaharamisha mtoto wa kiume kuonesha emotions au kusema nimeshindwa au kusema nahitaji msaada, hence mtoto huyu wa kiume anakua na kuwa mwanaume kamili ambaye kuonesha hisia za udhaifu ni mwiko. Impact yake ni kuwa msongo wa mawazo na suicidal rate iko juu kwa wanaume kuliko wanawake. (japo hili pia lina sababu zingine)

Anyways kama mfumo huo unafaida zaidi kwenu then yes, kama sio basi hamna budi kutuunga mkono wazee wa usawa [emoji28]
Labda jamii itaamka na kuanza kuangazia matatizo yanayoikabili jamii yenu ya kiume.


However, Zamaradi naye anahubiri maji wakati anakunywa beer, mtu anayetambua mapambano ya mtoto wa kiume na ugumu wake aliwezaje kumzulumu yule dogo haki zake, dogo alivyofight back na kumuexpose wakaanza kumtishia maisha yeye na mumewe. Unafiki ni tabia ya wajukuu wote wa Nyerere if you know what i mean.
Khaa inavofukua hayo makaburi si mchezo
 
Back
Top Bottom