Hivi Tor browser inaingia net ya kawaida au mpaka deepweb Tu?haiko slow?unaweza download movie?Tumia TOR Browser Amna kitu ataona mtuyeyote juu ya hii Dunia labda wewe mwenyewe
Unatumia JF, YouTube, twitter na WhatsApp halafu GB 1 inasurvive siku 4?Duuhh asante JF na YouTube, Twitter, Wasap ..basi.
GB 1 siku nne mpaka tano.
Zipo kibaoUmedownload app ipi
Chochote unachojuaHivi Tor browser inaingia net ya kawaida au mpaka deepweb Tu?haiko slow?unaweza download movie?
Umedownload app ipi
Sema Tor inakuaga slow tatizo Ina protocol kibao kwahyo movie ya kudownload nusu saa Kwa Firefox kwa tor ni siku nzimaChochote unachojua
Mwonee huruma ndugu yako..umeshampa mawazo mazito huko alipo..yaan infwaact umemwangushia kitu kizito sana kichwanUngekuwa unaweza ku judge hvyo darasan.. Sasa hvi ungekuwa kama MO
Yeah hilo ninaweza kusema ni kweli kabisaIla nahisi gb tunazopewa hazitimii