Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 8,359
- 14,734
Masaa machache sana, hayazidi sita
Hatar sanaMm hapo ni masaa 2 mzigo umekata.
Hatar sana
Unatumia mtandao gani? IG inakula Sana mbMe huwa siingii youtube lakini bando halikai
Siku 3 mpaka 4Mimi nikijibana sana hazizidi siku mbili, wewe je huwa unatumia 1GB kwa siku ngapi?
ZantelUnatumia mtandao gani? IG inakula Sana mb
Siku moja tu inqmaliza gbMimi nikijibana sana hazizidi siku mbili, wewe je huwa unatumia 1GB kwa siku ngapi?
kumbe tupo wengi....hiki hakitoshi kwakweli...ila ndio hivyo uwezo wangu umeishia hapo...Nilijiunga kifurushi kama chako kwa 20k, mtandao huo huo, ilikuwa tarehe 1, leo nina gb 4 zinakimbilia gb3!!
Una Dk800 Mitandao yote+ Dk700 LONGA NAE+GB10+SMS500 kwa Siku30@20000Tsh. (VAT 3050.85Tsh, thamani yake 16949.15Tsh). Piga *102*00# kuangalia salio
Mb 10500 zimebakiHiyo ni agost 18 to September 10View attachment 1931296
😁😁😁GB....
Gb....
gb....
Nikishazielewa naweza kujibu[emoji848][emoji848][emoji848]
Kama nakuelewa...lakini.....