Huwa unatumia 1GB kwa siku ngapi?

Huwa unatumia 1GB kwa siku ngapi?

Me Gb 1 kwa masaa tu nmemaliza sababu nashinda youtube,insta,whatsap,fb na jf
 
Screenshot_20210923-221443.jpg


AT LEAST MAPAMBANO YANAONEKANAA
 
Screenshot_20211119-054724.png

GB 6 KWA WIKI 2 (ZA BURE) kwa wiki 2 za mwezi

MB 300 (ZA BURE) naunga stark vpn kwa airtel nazikamua mpaka zinaisha
Screenshot_20211119-055327.png

nawasha thunder Vpn naiunga kwa halotel natumia Mb kadri ninavyojisikia (Bure kabisa)
Screenshot_20211119-055348.png

kwa kifupi nikinunua bando la data ujue VYA BURE VYOTE VIMEKATA.

hapa nilipo napambana na fleelancers wanipe mchongo wa dakika ZA BURE.MITANDAO YOTE.

nataka niishi bila wasiwasi wa hela ya vocha.

Nb: NAMBA ILIYOONEKANA HAPO NI KWA AJILI YA WALE WANAOHITAJI VIWANJA AMA GARI KWA DAR NA MWANZA.

MIMI NI DALALI NAKUWAHISHIA HUDUMA HARAKA SANA
 
Back
Top Bottom