Huwa unatumia 1GB kwa siku ngapi?

Huwa unatumia 1GB kwa siku ngapi?

Daah kuna jengo moja lina ofisi nyingi nipo karibu nalo home,basi unaona tu wifi zipo on tatizo mpk password
 
mimi baada ya kuona mb zilikuwa zinanimalizia sana vocha nikaamua kuwa najiunga kifurushi cha 20k tigo napata mb zangu 10 nahanaika nazo kiubishi ubishi mwezi mzima...hiki cha sasa nimejiunga tarehe 1...mpaka hii leo nina gb 6 kati ya gb10 nilizopata
Nilijiunga kifurushi kama chako kwa 20k, mtandao huo huo, ilikuwa tarehe 1, leo nina gb 4 zinakimbilia gb3!!


Una Dk800 Mitandao yote+ Dk700 LONGA NAE+GB10+SMS500 kwa Siku30@20000Tsh. (VAT 3050.85Tsh, thamani yake 16949.15Tsh). Piga *102*00# kuangalia salio
 
Mimi nikijibana sana hazizidi siku mbili, wewe je huwa unatumia 1GB kwa siku ngapi?
Wiki nzima hadi zinabaki, nikinunua kingine zinakuwa active tena.

Halotel hiyo, Voda nimewasusa hadi wakaanza kunitumia sms kuwa sijatumia mtandao wao kwa muda mrefu wakati line ipo hewani kila siku.
 
Inategemea na trending stories za wiki hiyo au siku hiyo....

Thread closed
 
Toka pale job Niungishwe wi fi matumizi ya GB 1 naweza fikisha 3 days hapo ni tsao Jf na fb tweter na insta kidog
 
Voda siku moja kesho naunga tena
 
Hata Zantel wanafanya hivyo
Wiki nzima hadi zinabaki, nikinunua kingine zinakuwa active tena.

Halotel hiyo, Voda nimewasusa hadi wakaanza kunitumia sms kuwa sijatumia mtandao wao kwa muda mrefu wakati line ipo hewani kila siku.
 
Back
Top Bottom