NYOLODO
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 11,362
- 25,907
Tangu namba za kirumi zimezuiwa situmii gb

Tangu namba za kirumi zimezuiwa situmii gb

Ungekuwa unaweza ku judge hvyo darasan.. Sasa hvi ungekuwa kama MOGB....
Gb....
gb....
Nikishazielewa naweza kujibu![]()
Ila nahisi gb tunazopewa hazitimiiSiku moja tuu
Prof tupe jibuGB....
Gb....
gb....
Nikishazielewa naweza kujibu![]()
lisaa 1 mpaka masaa 3 nikijibana sana siku 1.Mimi nikijibana sana hazizidi siku mbili, wewe je huwa unatumia 1GB kwa siku ngapi?
Bongo gb huko ni wizi mtupu,Ila nahisi gb tunazopewa hazitimii
hata najua sasa mamiloowewe na nani?![]()
ndio najifunza...Ungekuwa unaweza ku judge hvyo darasan.. Sasa hvi ungekuwa kama MO
la nne C....Prof tupe jibu
Utatoboa kweli mwezi?mimi baada ya kuona mb zilikuwa zinanimalizia sana vocha nikaamua kuwa najiunga kifurushi cha 20k tigo napata mb zangu 10 nahanaika nazo kiubishi ubishi mwezi mzima...hiki cha sasa nimejiunga tarehe 1...mpaka hii leo nina gb 6 kati ya gb10 nilizopata
Bongo gb huko ni wizi mtupu,