Huu ni ukweli? Kwa nini kimefichwa?

Huu ni ukweli? Kwa nini kimefichwa?

sitaki kuongelea kitabu hicho, kwasababu ninyi wakatoliki kuna vitabu vingi tu mmevikubali ambavyo shetani alileta ili kupotosha ukweli. ila kwa habari ya spy wa kike au wanawake hodari wa vita, hata Debora kwenye agano la kale alimuua adui wa israel. sio kitu cha ajabu hicho.
Kumbe shetani aliwahi kuandika vitabu[emoji15]
Sikuwahi kulijua hili[emoji1]

Lakini ni vyema kabla hujaanza kunyooshea kidole kanisa katoliki, ni vizuri ukajifunza historia kidogo ya haya maandiko, machapisho yake na editions

Biblia inayotumiwa na wakatoliki ndio biblia ya kwanza kuwahi kutengenezwa na kutumiwa na wakristo wa makanisa yote ulimwenguni kabla ya hiyo yenu mnayoita tafsiri ya ulimwengu mpya

Jifunze, acha kukaririshwa kunyooshea vidole makanisa ya wenzako huku kanisa lako halina hata historia yoyote kwenye ukristo
 
Jamani nani amepewa kibari cha kuhukumu juu ya makanisa?acheni kunyoosheana vidore kuhusu kanisa la kweli Mungu pekee ndiye mwenye kujua kanisa la kweli wanadamu wote ni waovu na tunaishi kwa neema tu ya mwenyezi Mungu hivyo hakuna aliye mkamilifu!!!!!!!!!!

#kama kanisa lako ni la kweli toa chimbuko lake.
 
Salaam, katika Biblia ya kikatoliki, kuna kitabu cha Judith, huyu alikuwa msichana wa kiyahudi aliyejifanya kahaba ili anunuliwe na mfalme pinzani wa Israel, inasemekana aliponunuliwa akamkata kichwa mfalme akatoka nacho akiwa amekibeba juu juu, na vita ikaishia hapo(Israel ikapata ushindi).

Kina ukweli hiki? Mwanamke akate kichwa cha mtawala? Wajuzi njoeni
Don't underestimate the power of a woman,never ever....
 
Hata kwenye kitabu cha Ruth, Ruthuu alifundishwa na mama mkwe wake Naomi kifanya ukahaba. Alienda kudanga kwa tajiri aitwae Boazi. Boazi alizimika kwa huyo mwanamke aitwae Ruthuu, mpaka akamuoa.

Ndie aliye mzaa Obeid baba yake Yese.
Yese alimzaa Daudi.
Utagundua kumbe ukoo wa akina Daudi umetokana na mwanamke wa Moabu ambaye alikuwa anadanga ili wapate chakula.

UDANGAJI ULIKUWEPO TANGU ZAMANI.
NA MUNGU HUPITISHA WATUMISHI WAKE KUPITIA UKOO WA WADANGAJI.

USIMCHEKE MWANAMKE KAHABA.
Aisee Kuna funzo hapa[emoji848]
 
We ulijuaje kama vilitolewa ikiwa wewe haukuwepo kwenye hicho kikao kilichovihidhinisha hivyo vitabu au unatumia neno nilisikia na kusoma mahali?
Je na wewe unauthibitisho gani kwamba avikutolewa?
Je kwanini Biblia ya kikatoliki inavitabu vingi tofauti na nyingine
 
Je na wewe unauthibitisho gani kwamba avikutolewa?
Je kwanini Biblia ya kikatoliki inavitabu vingi tofauti na nyingine
Swali la kwanza sitokujibu maana kuna mwenzio nshamjibu swali sawa na lako.
Kati ya katoliki na hao wengine au hizo versions nyingine unahisi nani katooa maandiko toka kwa mwenzake?
 
Sipendi mipasho. Hapa tunaongea kwa facts. Unataka nikuorodheshee wanawake waliokuwa kahaba kwenye bible.
Kama hujui bible kaa kimya.
Usiorodheshe maana inajulikana walikuwepo baadhi katika maandiko walotumika kufikisha ujumbe fulani, mfano ni Rahabu aliyefanikisha kuangushwa kwa kuta za yeriko, mwingine ni yule aliyekuja kutubu kwa Yesu n.k

Kwanini nakukatalia kwenye kisa cha Ruthu unavyokielezea ni kana kwamba unamvisha mwanamke wa watu umalaya ambavyo si sahihi.

Ruthu alifiwa na mumewe huku akibaki kumlea mama mkwe ambaye naye ni mjane(ukiachilia mbali yeye ni mmoabu na yule ni mwisraeli angeweza hata kumtema) kutokana na kuangaika na ukata huku na huku kusurvive hatimaye habari njema inawaijia kuwa warudi Israeli maana njaa imeisha,

Akiwa katika plan zakurudi bethlehemu ndipo anafanikiwa kufika kwa tajiri boazi ambaye ni ndugu yake na marehemu mume wake na ruthu, hivyo baada ya boazi kujua kilichomtokea shemeji yake huyu na upendo mkubwa alomfanyia Naomi(mama mkwe wake)licha ya kutokuwa ndugu au mtu wa taifa lake anavutiwa kumsaidia.

Boazi anamruhusu mwanamke huyu kuvuna pamoja na vibarua wake shambani apate japo ngano apeleke mahome wakale. Ila anapofika mahome na kumweleza Naomi ndipo Naomi anapata idea kuwa kwanini asimshawishi ndugu yake huyu amwoe ruthu kurudisha fadhili.

Lakini katika hilo anamshauri Ruthu asijirahisishe kama kahaba bali aendelee kuwa na staha hata kama anamzimia mshikaji, tena awe anakwenda asubuhi shamba na kurudi kulala mahome.

Hivyo process ya kutongozana ilifanyika kwa romance ya muda fulani mpaka ikafikia siku moja demu akahamua kumpa gemu mshikaji ila jamaa akachomoa,(Ruthu 3:9) kumwonesha demu kuwa anamweshimu na hawezi mtumia kama kahaba bali atafuata taratibu zote za ndoa ndo amalize mchezo.(Ruthu 4:13-22)

Hivyo kutokana na upendo, uvumilivu na utiifu wake Mungu anamzawadia zawadi ya kuwa sehemu ya ukoo wa Daudi na baadaye Yesu. Kumbuka pia Ruthu aliacha miungu ya kwao na akaamua kumwabudu Mungu Yehova kwa uaminifu(Ruthu 2:12; Mithali 31:30) hivyo kwa mtazamo wangu mwanamke huyu mpambanaji na mcha Mungu sidhani kama alistahili hiyo sifa uliyombandika.
 
Usiorodheshe maana inajulikana walikuwepo baadhi katika maandiko walotumika kufikisha ujumbe fulani, mfano ni Rahabu aliyefanikisha kuangushwa kwa kuta za yeriko, mwingine ni yule aliyekuja kutubu kwa Yesu n.k

Kwanini nakukatalia kwenye kisa cha Ruthu unavyokielezea ni kana kwamba unamvisha mwanamke wa watu umalaya ambavyo si sahihi.

Ruthu alifiwa na mumewe huku akibaki kumlea mama mkwe ambaye naye ni mjane(ukiachilia mbali yeye ni mmoabu na yule ni mwisraeli angeweza hata kumtema) kutokana na kuangaika na ukata huku na huku kusurvive hatimaye habari njema inawaijia kuwa warudi Israeli maana njaa imeisha,

Akiwa katika plan zakurudi bethlehemu ndipo anafanikiwa kufika kwa tajiri boazi ambaye ni ndugu yake na marehemu mume wake na ruthu, hivyo baada ya boazi kujua kilichomtokea shemeji yake huyu na upendo mkubwa alomfanyia Naomi(mama mkwe wake)licha ya kutokuwa ndugu au mtu wa taifa lake anavutiwa kumsaidia.

Boazi anamruhusu mwanamke huyu kuvuna pamoja na vibarua wake shambani apate japo ngano apeleke mahome wakale. Ila anapofika mahome na kumweleza Naomi ndipo Naomi anapata idea kuwa kwanini asimshawishi ndugu yake huyu amwoe ruthu kurudisha fadhili.

Lakini katika hilo anamshauri Ruthu asijirahisishe kama kahaba bali aendelee kuwa na staha hata kama anamzimia mshikaji, tena awe anakwenda asubuhi shamba na kurudi kulala mahome.

Hivyo process ya kutongozana ilifanyika kwa romance ya muda fulani mpaka ikafikia siku moja demu akahamua kumpa gemu mshikaji ila jamaa akachomoa,(Ruthu 3:9) kumwonesha demu kuwa anamweshimu na hawezi mtumia kama kahaba bali atafuata taratibu zote za ndoa ndo amalize mchezo.(Ruthu 4:13-22)

Hivyo kutokana na upendo, uvumilivu na utiifu wake Mungu anamzawadia zawadi ya kuwa sehemu ya ukoo wa Daudi na baadaye Yesu. Kumbuka pia Ruthu aliacha miungu ya kwao na akaamua kumwabudu Mungu Yehova kwa uaminifu(Ruthu 2:12; Mithali 31:30) hivyo kwa mtazamo wangu mwanamke huyu mpambanaji na mcha Mungu sidhani kama alistahili hiyo sifa uliyombandika.
Hujui kusoma biblia mwanangu. Rudia kusoma kitabu cha Ruth tena na tena. Usijifanye mjuaji kumshinda Mungu mwenyewe.
 
Jamani nani amepewa kibari cha kuhukumu juu ya makanisa?acheni kunyoosheana vidore kuhusu kanisa la kweli Mungu pekee ndiye mwenye kujua kanisa la kweli wanadamu wote ni waovu na tunaishi kwa neema tu ya mwenyezi Mungu hivyo hakuna aliye mkamilifu!!!!!!!!!!

#kama kanisa lako ni la kweli toa chimbuko lake.
Wewe huna uhakika kama kanisa lako ni la kweli?
 
Wakristo wanasema.uislam ni dini ya kuuana.
Ila wao biblia yao inafundisha Mungu wao na wanaisrael walikuwa wanasaidiana kuua watu.
Tena Mungu anafundisha mbinu za kivita
 
Usiorodheshe maana inajulikana walikuwepo baadhi katika maandiko walotumika kufikisha ujumbe fulani, mfano ni Rahabu aliyefanikisha kuangushwa kwa kuta za yeriko, mwingine ni yule aliyekuja kutubu kwa Yesu n.k

Kwanini nakukatalia kwenye kisa cha Ruthu unavyokielezea ni kana kwamba unamvisha mwanamke wa watu umalaya ambavyo si sahihi.

Ruthu alifiwa na mumewe huku akibaki kumlea mama mkwe ambaye naye ni mjane(ukiachilia mbali yeye ni mmoabu na yule ni mwisraeli angeweza hata kumtema) kutokana na kuangaika na ukata huku na huku kusurvive hatimaye habari njema inawaijia kuwa warudi Israeli maana njaa imeisha,

Akiwa katika plan zakurudi bethlehemu ndipo anafanikiwa kufika kwa tajiri boazi ambaye ni ndugu yake na marehemu mume wake na ruthu, hivyo baada ya boazi kujua kilichomtokea shemeji yake huyu na upendo mkubwa alomfanyia Naomi(mama mkwe wake)licha ya kutokuwa ndugu au mtu wa taifa lake anavutiwa kumsaidia.

Boazi anamruhusu mwanamke huyu kuvuna pamoja na vibarua wake shambani apate japo ngano apeleke mahome wakale. Ila anapofika mahome na kumweleza Naomi ndipo Naomi anapata idea kuwa kwanini asimshawishi ndugu yake huyu amwoe ruthu kurudisha fadhili.

Lakini katika hilo anamshauri Ruthu asijirahisishe kama kahaba bali aendelee kuwa na staha hata kama anamzimia mshikaji, tena awe anakwenda asubuhi shamba na kurudi kulala mahome.

Hivyo process ya kutongozana ilifanyika kwa romance ya muda fulani mpaka ikafikia siku moja demu akahamua kumpa gemu mshikaji ila jamaa akachomoa,(Ruthu 3:9) kumwonesha demu kuwa anamweshimu na hawezi mtumia kama kahaba bali atafuata taratibu zote za ndoa ndo amalize mchezo.(Ruthu 4:13-22)

Hivyo kutokana na upendo, uvumilivu na utiifu wake Mungu anamzawadia zawadi ya kuwa sehemu ya ukoo wa Daudi na baadaye Yesu. Kumbuka pia Ruthu aliacha miungu ya kwao na akaamua kumwabudu Mungu Yehova kwa uaminifu(Ruthu 2:12; Mithali 31:30) hivyo kwa mtazamo wangu mwanamke huyu mpambanaji na mcha Mungu sidhani kama alistahili hiyo sifa uliyombandika.
Halafu kwa kukuongezea. Soma kitabu cha mwazo 38 kwa umakini. Utagundua Tamari alijiuza ili aweze kumkamata Yuda. Kweli Yuda aliingia mtegoni akagonga vya kutosha mpaka Tamari alipata Mimba akaweza kumzaa Peresi na Zera. Hawa walikuwa mapacha.

Ndio matukio hayo hayo yaliendelea mpaka kwa Ruthuu.
 
Back
Top Bottom