Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,360
- 2,281
- Thread starter
- #61
Hii pc yako ya mara ya 2 haifunguki, sijui shida nini!View attachment 2045432
Soma kuanzia mstari wa 7
Hii pc yako ya mara ya 2 haifunguki, sijui shida nini!View attachment 2045432
Soma kuanzia mstari wa 7
Kumbe yudithi mwenyewe alikuwa mjane, halafu huyo aliyeuawa si mfalme ni general, hii inaonesha yudithi alikuwa kachoka tayari, sema huyo jamaa alipitiwa na ulevi tu, pombe mbaya!
Sawa, ila nimeona michoro yake![emoji3][emoji3][emoji3] narudia! Pombe mbaya!Yudithi 10:19
Wakaustaajabu uzuri wake na kuwa staajabia wana wa israel kwa ajili yake, wakasemezana kila mtu na jilani yake nani awezaye kuwadharau watu hawa, madhali miongoni mwao mna mwanamke mzuri kama huyu!
Haifai waachwe hata mtu mmoja maana wakiachwa wataweza kuushawishi ulimwengu wote
Mkuu nazani paka hapo utakuwa umeelewa judith alikuwa ni mwanamke mzuri hasa
Kipi ni kitabu cha kweli? na kilitoka wapi?Biblia ni kitabu cha kutungwa tu kama riwaya nyingine. Japo kina mafundisho mengi mazuri (kila riwaya ina mafundisho) lakini usiamini story zake sio za kweli.
Mwenye vichache katoa kwa yule mwenye vingi!Swali la kwanza sitokujibu maana kuna mwenzio nshamjibu swali sawa na lako.
Kati ya katoliki na hao wengine au hizo versions nyingine unahisi nani katooa maandiko toka kwa mwenzake?