Bi nyakomba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 385
- 104
Dogo anaogopa tu....ila Bi Nyakomba ni atakuwa KE ila hatujathibitisha bado
Mmmmmh nadiskasiwa mie au mwingine
Dogo anaogopa tu....ila Bi Nyakomba ni atakuwa KE ila hatujathibitisha bado
mwite tu...huenda nae ikawa suprize!...maana niliichukua kimazabezabe!..
Tulikuwa wakali wewe.. Ona nywele zetu, ona miguu hiyo. Na hapo tulikuwa bado hatujavunja sinia.
Sasa hivi tumeweka mchina., yaani wewe nikikukamata... Kumbe jana umetoroka na picha..sijui saa hizi zikoje!..
Swahiba huyu Bagah kaitoa wapi picha yetu?..Tulikuwa wakali wewe.. Ona nywele zetu, ona miguu hiyo. Na hapo tulikuwa bado hatujavunja sinia.
Mnene zaidi ndie husni,...sie ni maswahiba tangu utotoni ati..Sasa hapo yupi SL na yupi Husny?
Khaaaa! Lol.hata sijui...maana ni AFADHALI na POTELEA MBALI...
Hahaha!teheeee...hiki ndio kilichonileta MOSHI...mission completed!..
Hahahaha! Huna imani na bi nyakomba? Ingia mzima mzima unyonywe damu lol. Eti ooh nimepata sweetheart anaitwa binyakomba!majungu camp iyo...wasipofanya ivyo hawaishi...wazoee tu bi/bw....sorry niko kwenye uchunguzi!
Bagah eeeeh, umetisha na huu uzi.. Kumbe mambo ya kujipodoa na salun yapo tangu enzi bana! Daah..
sijui saa hizi zikoje!..