BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
- Thread starter
- #101
Umejuaje?
Dogo na wewe mmbea sana aisee...
Mambo ya ndani kwa watu tena ya ndoa unayapekenyua yanakuhusu nini?
braza usiku mwema...muda huu Amyner anaimbishwa huko kwenye simu...ww unang'aa sharubu huku...we sijui ulishauriwa na nan kuoa...inaonekana bado HUNTER kabsaa!..