Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Nimeona nyonyo za Mwajuma
shindwa na ulegee hamisi.
Nimeona nyonyo za Mwajuma
Muda huu nimesitisha kuangalia match ya Baca Vs Milan , nawasiliana na vijana wangu wa wizarani, ili pakikucha wawe wameshatuma e-mail The Hague kwa minajili, ya kwamba by Thursday sumons ya BAGAH kuitwa The Hague iwe imekamilika, nje ya hapo BAGAH uniombe radhi within 24 hrs ahead.
Vinginevyo upoteaji wa picha hiyo ulihusisha pia kupotea kwa some other valuable items , siwezi vitaja au kuviongelea coz kesi ya kuvihusu iko Mahakamani .
Yap yap nimekubali shost, nakumbuka hapo na mie nilifata kijiti cha kukufumua lol sikutokelezea kwenye picha
Nimewakubali
aisee mmemwambia nini braza...mbona kaja amevimba ivyo??
rangi adimu hzo
Hahahaaa nawewe hupotezei lolMmmmmh nadiskasiwa mie au mwingine
Hahahaaa bado yangu na Bagah inakuja.....Mnene zaidi ndie husni,...sie ni maswahiba tangu utotoni ati..
umemwona mkimbiza mwenge alivyo mchokozi eeh? Amekuja kwenye jiji la watu katoroka na picha lol.
Hahahaaa bado yangu na Bagah inakuja.....
Dogo kati ya Bwa/Bi vs Wewe Bagah nani wa kuzoeleka kwa majungu?majungu camp iyo...wasipofanya ivyo hawaishi...wazoee tu bi/bw....sorry niko kwenye uchunguzi!
Teh ila hata nyinyi mmependeza sana....nyie sio mafotojeniki..
Teh ila hata nyinyi mmependeza sana....
Nataka tuzitoe picha za Mke na Mume....
Mfano:Husny na Judgement....
Nitty na SweetLady
Rejao na Cantalisia.....
Upotoroto na Kabakabana
Bagah na Bi Nyakomba.....
Na wengineo wakiwa kwenye pozi la kimahaba
Hahahaaa mi kwenye hiyo list simo wala wife....mi na mme wangu hatupendi mauzo. Kwenye nafasi yetu jiweke wewe na amy.
Teh ila hata nyinyi mmependeza sana....
Nataka tuzitoe picha za Mke na Mume....
Mfano:Husny na Judgement....
Nitty na SweetLady
Rejao na Cantalisia.....
Upotoroto na Kabakabana
Bagah na Bi Nyakomba.....
Na wengineo wakiwa kwenye pozi la kimahaba
Sio kususiwa kwani si ni wakwako? Au hujui kama ndo ubavu wako?aloo ivi bi nyakomba ndio nimeshasusiwa kiukwelii?...
Dogo kati ya Bwa/Bi vs Wewe Bagah nani wa kuzoeleka kwa majungu?
Kwanza ulisema wazi kuwa humtaki tena Bi Nyakomba kuwa eti ni changa la macho....Lol
Sema sasa nayeye asikie
Umejuaje?asee jitahidi usiku huu afurahi!..kwa namna yoyote ile...najua braza anapenda sana!chakula cha usiku
Hahahaaaa aisee hii kashfa kubwa sana kwa Bi Nyakomba.....anajua...wala usininong'oneze...mwanamke gani sauti nzito...anaeza kuimba sauti ya nne church...au labda amebarikiwa kwenye sekta zingine...huwezi jua..LOL