sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Lol...Ziko six o'clock
Lol...Ziko six o'clock
Hahahaha! Bagah nareport abuse,...kwa msaada wa jeki!..
Nnayo, unataka nimwazime bi nyakomba wako?nasikitika ilikua moja tu...na nega haina...poleni...vip iyo kufuli nyeusi bado unayo??
Lol...
Hiyo ni bad mana NN....Na wewe nimekuchungulia
Sijaona, ngoja nikapitie niimarishe ndoa..nah nah!..usifanye ivo shem...umeona vyakula nilivyopost leo??unatakiwa umkazanie braza ale!
Nimepitia, sijaona kipya manake husband hajachoka kama wewe, he's strong enough!haya fasta...na ikiimarika uje uniambie!..
Tobaaaa! Shemu umenichoka walah tena, mie mchovu hahahaha! Umetudhalilisha mimi na kakako na akikukamata utajuta.!inategemea na ww ulivyo...he might be even stronger kwa sababu yuko na mchovu...LOL
Dogo ana furaha leo kapata mchumba......anaitwa Bi.....
majungu camp iyo...wasipofanya ivyo hawaishi...wazoee tu bi/bw....sorry niko kwenye uchunguzi!
Mh, mbona wamng'ang'ania sana shemeji angu? Utamlinda kweli wewe?Hahaha BAGAH mie she bana kama vipi nidipu kwny fone yangu, au kaa huamini muulize huthininyo
waache kujidai...akati enzi zao ndo kama ivyo...kila kitu wazi...weusiii...afu saa hizi wanajiona wazuungu...na nywele za kuunga na supagluu!...niliiokota hii pic kwa braza angu Jg!
Muda huu nimesitisha kuangalia match ya Baca Vs Milan , nawasiliana na vijana wangu wa wizarani, ili pakikucha wawe wameshatuma e-mail The Hague kwa minajili, ya kwamba by Thursday sumons ya BAGAH kuitwa The Hague iwe imekamilika, nje ya hapo BAGAH uniombe radhi within 24 hrs ahead.
Vinginevyo upoteaji wa picha hiyo ulihusisha pia kupotea kwa some other valuable items , siwezi vitaja au kuviongelea coz kesi ya kuvihusu iko Mahakamani .
Swahiba huyu Bagah kaitoa wapi picha yetu?..