Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Dogo anaogopa tu....ila Bi Nyakomba ni atakuwa KE ila hatujathibitisha badoNiliisoma juu juu lkn ikawa km hajiamin flan!au keshathibitisha jinsia ya mchumba!
Dogo anaogopa tu....ila Bi Nyakomba ni atakuwa KE ila hatujathibitisha badoNiliisoma juu juu lkn ikawa km hajiamin flan!au keshathibitisha jinsia ya mchumba!
ngoja nimuite mme wangu. Halafu swahiba nampigia simu simpati. Wakija hapa bagah tutaila na chai
NimewakubaliTulikuwa wakali wewe.. Ona nywele zetu, ona miguu hiyo. Na hapo tulikuwa bado hatujavunja sinia.
Dogo anaogopa tu....ila Bi Nyakomba ni atakuwa KE ila hatujathibitisha bado
yaani nimefungua thread kwa mbwembwe zote ikiwemo kwenda kwenye profile kwanza nione umuhimu wao jf alafu picha ndo hii. Leo umenifurahisha .
Hahahaaaa huyu huipatishem wewe bado nakuheshimu...labda unitibue kama hawa wawili...ntakuanika mana najua pakuipata picha yako!
HeeeeeeNimeona nyonyo za Mwajuma
Heeeeee
shem wewe bado nakuheshimu...labda unitibue kama hawa wawili...ntakuanika mana najua pakuipata picha yako!
haha...uchonganishi sasa huo!
Tulikuwa wakali wewe.. Ona nywele zetu, ona miguu hiyo. Na hapo tulikuwa bado hatujavunja sinia.
Bi Mwenda?...
utanipa nini nisikuanike?