Humphrey Polepole adaiwa na Mwana-CCM kushiriki kuhujumu Katiba ili Samia asiwe Rais

Haji Jumaa na Hamfrey Polepole wote hawana dira. Ni wepesi kama karatasi. CCM ina wenyewe.
 
Humphrey ana sonona kubwa Sana kuikosa ile nafasi aliyekuwa nayo.
Mtu kumbuka kile kipindi chake cha jumamosi Channel Ten ambapo alikuwa anamuasha kiongozi yoyote ajibu ujinga wake usiku mnene sana
 
Hii ni kwamujibu wa mjumbe wa kamati kuu ya Chama kwamba ndugu yetu mzee wa darasa la uongozi na genge lake walijaribu kuzuia mafuriko kwa mikono, waliratibu mbinu zote ili Samia asiwe Rais lakini wakashindwa,

kwa hali hii natamka rasmi kwamba sisi vijana wa CCM hatumtaki Polepole kwenye chama kwanzia leo

-----

Haji Jumaa, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa toka Mkoa wa Pwani amesema haya

Tumwambie ndugu Humphrey Polepole kuwa wengi walipita kwenye nafasi ya Uenezi CCM Taifa, hivyo asione kuwa nafasi ile ilikuwa mahususi kwa ajili yake. Sisi tunajua nia yake iliyo nyuma za ajenda anazojaribu kuziibua kupitia kipindi chake cha Darasa la Uongozi.

Kama Humphrey Polepole anafahamu kuna watu wanaendesha nchi yetu kwa utaratibu anaosema wa parallel state au Parallel party ni vizuri akawa muwazi kwa kuwataja majina ili aisadie nchi.

Kuhusiana na hoja ya kikundi kidogo kinaongoza nchi, tumwambie tu Humphrey Polepole kuwa, duniani kote iwe dhairi au sirini, Serikali itaendeshwa na wachache kwa niaba ya wengi. Hakuna Serikali inaendeshwa na kila mtu.

Utaratibu wa wachache kuongoza kwa niaba ya wengi unakubalika, kuliko mtu mmoja kuongoza pekee yake kwa niaba ya wengi. Arejee maamuzi ya chama wakati wake Humphrey Polepole akiwa Katibu wa Itikadi na Uenezi

Humphrey Polepole awambie Watanzania kwanini alikuwa anamchongea aliyekuwa Katibu Mkuu wake kwa Mwenyekiti mpaka kupelekea kutenguliwa kwa Ukatibu Mkuu wa CCM

Kumekuwa na tuhuma nyingi za rushwa na unyanyasaji wa kingono wakati wa uongozi wa Humphrey Polepole, hata pale maelekezo ya kutochangisha pesa za michango kwa wafadhili kwaajili ya kampeni ndugu Polepole alifanya hivyo. Zipo taarifa za michango hiyo kuishia njiani

Kama Humphrey Polepole ana nia safi ya kutoa elimu, CCM inamalizia Chuo Cha Uongozi ni vyema akaomba kufundisha huko kwa nia safi badala ya ilivyo sasa kutumia kipindi chake cha Darasa la Uongozi kuisema Serikali iliyopo madarakani

Ndugu Humphrey Polepole na kikundi chako ambacho hakiamini nguvu ya mwanamke katika kuongoza tuwaambie mtashindwa kama mlivyoshindwa mwanzo katika zoezi la kuzia katiba ya nchi yetu isifuatwe ili kukidhi imani yenu ya kuwa nchi hii haiwezi kuongozwa na mwanamke

Tumsihi ndugu Humphrey Polepole aache kupenda vyeo na ukubwa, nchi yetu ni kubwa kuliko yeye. Anapokosa nafasi kubwa kubwa atulie tu na anyamaze, kwani hata alipofikia sasa ni pazuri,ni vyema akalinda heshima yeke
Mnaandika sana lakini naona mnawaandika viongozi msio wajua. Na mmoja wapo ni Polepole. Anaipenda CCM tuu na hafuati kuneemesha tumbo lake. Baadhi yetu tuna ushaidi usio na shaka kwa hilo.

Tuna offer ya Euro 120,000 kwa mwaka kwa kazi ya Governance na Leadership na amekataa.
 
Hii nchi inaendeshwa kihuni sana na wote wanao pinga katiba mpya ni wahuni tu,wakati umefika wenye akili waongoze nchi hawa tunao waona kwenye maamuzi hawajilikani kwenye academic level,vizazi vyote vina intellectuals wao hatuwaoni kwenye uongozi au decision making,wamejaa wachumia tumbo au popo na makasuku wakitafuta mlo,tukubali katiba mpya itaondoa uozo wote.
 
Hii ni kwamujibu wa mjumbe wa kamati kuu ya Chama kwamba ndugu yetu mzee wa darasa la uongozi na genge lake walijaribu kuzuia mafuriko kwa mikono, waliratibu mbinu zote ili Samia asiwe Rais lakini wakashindwa,

kwa hali hii natamka rasmi kwamba sisi vijana wa CCM hatumtaki Polepole kwenye chama kwanzia leo

-----

Haji Jumaa, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa toka Mkoa wa Pwani amesema haya

Tumwambie ndugu Humphrey Polepole kuwa wengi walipita kwenye nafasi ya Uenezi CCM Taifa, hivyo asione kuwa nafasi ile ilikuwa mahususi kwa ajili yake. Sisi tunajua nia yake iliyo nyuma za ajenda anazojaribu kuziibua kupitia kipindi chake cha Darasa la Uongozi.

Kama Humphrey Polepole anafahamu kuna watu wanaendesha nchi yetu kwa utaratibu anaosema wa parallel state au Parallel party ni vizuri akawa muwazi kwa kuwataja majina ili aisadie nchi.

Kuhusiana na hoja ya kikundi kidogo kinaongoza nchi, tumwambie tu Humphrey Polepole kuwa, duniani kote iwe dhairi au sirini, Serikali itaendeshwa na wachache kwa niaba ya wengi. Hakuna Serikali inaendeshwa na kila mtu.

Utaratibu wa wachache kuongoza kwa niaba ya wengi unakubalika, kuliko mtu mmoja kuongoza pekee yake kwa niaba ya wengi. Arejee maamuzi ya chama wakati wake Humphrey Polepole akiwa Katibu wa Itikadi na Uenezi

Humphrey Polepole awambie Watanzania kwanini alikuwa anamchongea aliyekuwa Katibu Mkuu wake kwa Mwenyekiti mpaka kupelekea kutenguliwa kwa Ukatibu Mkuu wa CCM

Kumekuwa na tuhuma nyingi za rushwa na unyanyasaji wa kingono wakati wa uongozi wa Humphrey Polepole, hata pale maelekezo ya kutochangisha pesa za michango kwa wafadhili kwaajili ya kampeni ndugu Polepole alifanya hivyo. Zipo taarifa za michango hiyo kuishia njiani

Kama Humphrey Polepole ana nia safi ya kutoa elimu, CCM inamalizia Chuo Cha Uongozi ni vyema akaomba kufundisha huko kwa nia safi badala ya ilivyo sasa kutumia kipindi chake cha Darasa la Uongozi kuisema Serikali iliyopo madarakani

Ndugu Humphrey Polepole na kikundi chako ambacho hakiamini nguvu ya mwanamke katika kuongoza tuwaambie mtashindwa kama mlivyoshindwa mwanzo katika zoezi la kuzia katiba ya nchi yetu isifuatwe ili kukidhi imani yenu ya kuwa nchi hii haiwezi kuongozwa na mwanamke

Tumsihi ndugu Humphrey Polepole aache kupenda vyeo na ukubwa, nchi yetu ni kubwa kuliko yeye. Anapokosa nafasi kubwa kubwa atulie tu na anyamaze, kwani hata alipofikia sasa ni pazuri,ni vyema akalinda heshima yeke
Ingawa kweli simshabikii polepole hasa kwa ukigeugeu wake na kukosa ideology, lakini nanyi watu wa ccm mna shida kubwa. Mnapenda sana kuabudu viongozi na hamko ideological and principally. Jifunzeni kuwa na siasa za masuala.
 
Umuhimu wa kina bashiru utaonekana 2025. Ila itakuwa too late. Ni pale hupitishwi kugombea ubunge bila rushwa na kujuana. Uwezo wako kifedha ndio utakubeba.

Ni pale chama kinapotaka kumfia mwenyekiti mkononi kama ilivyokuwa kwa jk 2015.
aliekwambia Rushwa haikuepo alikudanganya sana kaka
 
Hii nchi inaendeshwa kihuni sana na wote wanao pinga katiba mpya ni wahuni tu,wakati umefika wenye akili waongoze nchi hawa tunao waona kwenye maamuzi hawajilikani kwenye academic level,vizazi vyote vina intellectuals wao hatuwaoni kwenye uongozi au decision making,wamejaa wachumia tumbo au popo na makasuku wakitafuta mlo,tukubali katiba mpya itaondoa uozo wote.

hahaha
tatizo Tz inaongozwa nawatu wale wale, akili zile zile, na makosa yanakua niyale yale..

God bless Africa
God bless Tanzania
 
Muda wa kumshusha aku kunpunguza kasi umeanza ccm ndivyo ilivyo.

Rejea sauti za nape makamba membe
 
Back
Top Bottom