PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
wadau biharamulo iko mkoa mpya wa chato zamani ililikuwa mkoani kagera majira ni yakawaida sio ya africa ya kati naomba kuweka kumbukumbu sawa,asanteni mwenye updates za hukumu aendelee kutujuza
Hapana. Bado iko Kagera. Iliyohamia Mkoa wa Geita (siyo Chato) ni wilaya ya Chato.