Jamani mbona mnakuwa matomaso! hamuamini kama mbasa kavuliwa ubunge?
sio utomaso, tuambie kila hatua iliyojiri mpaka kufikia hukumu, ni hoja gani ilithibitisha shitaka.
Kwanza wewe uko Bukoba, acha kutudanganya
Sasa ni saa mbili na nusu usiku yaani bado hawajatoa hukumu? Afrika ya Kati ni saa moja unusu usiku na UK muda huu ni saa kumi na mbili unusu jioni; jamanihawa Biharamulo wanafuata saa za wapi?
Siku nyingine kutuliza presha mtupe na muda (saa) kulingana na maeneo mbalimbali ya nchi hii.
ipi ni sahihi?
- bihalamlo
- bihalamulo
- biharamlo
- biharamulo
- biharamlo
- biharamulo
- biharamro
- biharamuro
Mkuu samahani hivi chama hakijatuma wawakilishi Biharamulo au sio utaratibu? Mbona hatupati updates
nimesubiri hadi nimegoma kula hadi nione hitimishomescroll butons hadi vidole vinauma....
batani niliyobonyeza mara nyingi zaidi ya nyingine ni refresh
Ni sehemu gani uliona chama kimetuma wawakilishi kwa ajili ya hizo kesi za uchaguzi?