Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

Usomaji wa hukumu bado unaendelea, Hoja nne kati ya nane zimepigwa chini, bado nne...............
 
Usomaji wa hukumu bado unaendelea, Hoja nne kati ya nane zimepigwa chini, bado nne...............

Kama ndivyo, kuna unafuu hapo. Maana nijuavyo zile hoja nzito hutangulia mwanzo.
 
Sasa ni saa mbili na nusu usiku yaani bado hawajatoa hukumu? Afrika ya Kati ni saa moja unusu usiku na UK muda huu ni saa kumi na mbili unusu jioni; jamanihawa Biharamulo wanafuata saa za wapi?

Siku nyingine kutuliza presha mtupe na muda (saa) kulingana na maeneo mbalimbali ya nchi hii.
 
50-50

kuna hoja ngapi kwani?

Mkuu hapo kwenye 50-50 pana walakini. Yule mhuni wa Sumbawanga mjini alifanikiwa kuzitupa hoja 13, akaja kunaswa na hoja ya 13 & 14.

Hapa ni kusubiri mpaka mwisho.
 
Hapa hakuna cha hukumu ya Biharamulo wala nini.

Mods nashauri muifunge tu hii sredi.
 
Back
Top Bottom