Huenda Safari ya 'Mafahari' Wawili wa Tanzania zikaishia Angola na Sudan

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,738
109,176
Leo natabiri mapema hapa kwa niliowaona wa kule Angola na wa Sudan ama Mafahari Wawili Wakatolewa ( Wakafurumushwa ) Wote au Mmoja wao tu ndiyo akabahatika Kufuzu Kundini lakini siyo Wote kwa pamoja ( kama Mafahari ) ndiyo watapita.

Wengine tumeumbwa kuwa Wakweli halafu tuna Macho ya Kimpira ambao kwa Levels zetu tumebahatika Kucheza hivyo tukisema Jambo kutokana na Macho yetu Pevu ya Michezo na Kiufundi huwa tunamaanisha na tuna uhakika nayo.
 
Hakuna timu ya Sudani itakayo cheza Makundi ya Caf champion league msimu huu, Wana timu mbovu sana, zinaweza zisi ingie ata Makundi ya shirikisho.
Kitu Ambacho haukijui sio Kwa ubora wa team unaingia makundi ila Kwa uzoeefu tutakutana hapa na usianze kutukana ohh mpira wa Africa ,Narudia Al hilal kuingia makundi sio story Kila mwaka wanafanya hivyo wanachotaka ni robo fainali pia Kwa El mereck muda utasema na wote wanamalizia nyumbani kama kawaida Yao.
 
Kitu Ambacho haukijui sio Kwa ubora wa team unaingia makundi ila Kwa uzoeafu tutakutana hapa na usianze kutukana ohh mpira wa Africa ,Narudia Al hilal kuingia makundi sio story Kila mwaka wanafanya hivyo wanachotaka ni robo fainali pia Kwa El mereck muda utasema na wote wanamalizia nyumbani kama kawaida Yao.
Yanga inawachezaji wazoefu wa michuano ya Africa kuliko ao Al hilal wenye timu mpya, mpira unachezwa uwanjani sio mdomoni. Kwasasa Yanga wapo vizuri, hakuna wa kumzuia asiende Makundi.
 
Nitajie wachezaji wazoefu wanne wa Yanga kwenye Michuano ya Africa ambao wamewahi kugusa hata robo fainali ya Shirikisho au champions league , nimekaaa pale uniite paka.Usiongee ongee tu Bangla ,djuma ndio team yao ilikuwa inaishia nafasi ya nne Kila wakikutana na Simba kwenye makundi ,muulize azizi ki atakueleza ugumu wa kuingia robofainali .mchezaji ni mmoja tu Morison kanusa Robo fainali .Hii ni michuano wa vilabu bingwa sio team zenye mkusanyiko wa wachezaji wazuri
Yanga inawachezaji wazoefu wa michuano ya Africa kuliko ao Al hilal wenye timu mpya, mpira unachezwa uwanjani sio mdomoni. Kwasasa Yanga wapo vizuri, hakuna wa kumzuia asiende Makundi.
 
Kitu Ambacho haukijui sio Kwa ubora wa team unaingia makundi ila Kwa uzoeefu tutakutana hapa na usianze kutukana ohh mpira wa Africa ,Narudia Al hilal kuingia makundi sio story Kila mwaka wanafanya hivyo wanachotaka ni robo fainali pia Kwa El mereck muda utasema na wote wanamalizia nyumbani kama kawaida Yao.
Uzoefu unapatikana wapi? wao walizaliwa na huo uzoefu?
 
Nitajie wachezaji wazoefu wanne wa Yanga kwenye Michuano ya Africa ambao wamewahi kugusa hata robo fainali ya Shirikisho au champions league , nimekaaa pale uniite paka.Usiongee ongee tu Bangla ,djuma ndio team yao ilikuwa inaishia nafasi ya nne Kila wakikutana na Simba kwenye makundi ,muulize azizi ki atakueleza ugumu wa kuingia robofainali .mchezaji ni mmoja tu Morison kanusa Robo fainali .Hii ni michuano wa vilabu bingwa sio team zenye mkusanyiko wa wachezaji wazuri
Kipindi Simba inaingia robo fainali for the first time ilikua na wazoefu wangapi?
 
Winga Morrison, Winga Kisinda …Kumi Stephane Ki, Mbele King Of The Game “Mayele”, Kati Kati Aucho Na Fei, Kushoto Na Kulia Farid Musa Na Djuma, Nyuma Nazima Mwenyewe MVP Mzee Wa Kazi Chafu Na Mwng Wa Nguvu International Defender Dickson Kazi Af Golini Mdaka Mishale Diarra…..HIVI TUNATOLEWAJE? TUNATOLEWAJE KWA MFANO? MAMAEE!!
 
Kitu Ambacho haukijui sio Kwa ubora wa team unaingia makundi ila Kwa uzoeefu tutakutana hapa na usianze kutukana ohh mpira wa Africa ,Narudia Al hilal kuingia makundi sio story Kila mwaka wanafanya hivyo wanachotaka ni robo fainali pia Kwa El mereck muda utasema na wote wanamalizia nyumbani kama kawaida Yao.
Kumalizia nyumbani sio kigezo cha kuwa na uhakika wa kushinda 100%! Msimu uliopita Galaxy alimalizia Lupaso na akashinda!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga inawachezaji wazoefu wa michuano ya Africa kuliko ao Al hilal wenye timu mpya, mpira unachezwa uwanjani sio mdomoni. Kwasasa Yanga wapo vizuri, hakuna wa kumzuia asiende Makundi.
Ushabiki kazi Sana kwa kweli
 
Nitajie wachezaji wazoefu wanne wa Yanga kwenye Michuano ya Africa ambao wamewahi kugusa hata robo fainali ya Shirikisho au champions league , nimekaaa pale uniite paka.Usiongee ongee tu Bangla ,djuma ndio team yao ilikuwa inaishia nafasi ya nne Kila wakikutana na Simba kwenye makundi ,muulize azizi ki atakueleza ugumu wa kuingia robofainali .mchezaji ni mmoja tu Morison kanusa Robo fainali .Hii ni michuano wa vilabu bingwa sio team zenye mkusanyiko wa wachezaji wazuri
Kama nakuelewa vile..
 
Winga Morrison, Winga Kisinda …Kumi Stephane Ki, Mbele King Of The Game “Mayele”, Kati Kati Aucho Na Fei, Kushoto Na Kulia Farid Musa Na Djuma, Nyuma Nazima Mwenyewe MVP Mzee Wa Kazi Chafu Na Mwng Wa Nguvu International Defender Dickson Kazi Af Golini Mdaka Mishale Diarra…..HIVI TUNATOLEWAJE? TUNATOLEWAJE KWA MFANO? MAMAEE!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom