Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Huawei yaifungulia kesi Serikali ya Marekani

Kuhusu hilo hakuna wa kulaumiwa, deficit ipo na sasa partiner mmoja anataka marekebisho ili iwepo balance, ajabu huyu mmoja anataka kugoma waendelee hivyo hivyo ili deficit iendelee kuwepo azidi kunyonya. Hapo ndo lawama zinaanza

Sent using Jamii Forums mobile app
China hajagoma negotiations fuatilia vizuri,kipindi wanafanya negotiations USA wakaweka tena tariffs sasa hapa kisaikolojia niku mzingua mwenzako

Yani ni sawa me napigana vitu na wewe halafu tukiwa kwenye negotiations table huku nje ninasikia ulipua nyumba yangu hapo unafikiri negotiations itaendelea?

Na hata bwana mdogo kim ndio maana kashindwa kufikia muafaka na trump kwa sababu kama hizo hamuwezi mkawa mnafanya negotiations halafu huku unasikia south korea and USA military drills zinaendelea kwenye korean peninsula au mara sanctions mpya zimewekwa hivi punde hivi unadhani negotiations zitaendelea vizuri labda kama uwe una negotiate na malawi au burundi ila sio nchi kama china wanaelewa sana psychological warfare

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kasema haijaongezeka tunachozungumzia hapa ni global share ya us economy inazidi kushuka kila mwaka kwa sababu kuna emerging economy zinachupika sasa hicho naona bwana mkubwa USA hakipendi

Multi polar world haepukiki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu mkuu sijui unaandika nn hii sytem ya uchumi tunayo tumia wame anzisha hao marekani kumbuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuzuia iPhone kutakua hakuna mahusiano yeyote na huawei,hiyo kama watazuia watafanya hivyo kwa pretext ya trade tension iliyopo kati yao

Marekani imepiga ban huawei products kwa pretext ya national security threat ila ukiangalia kiundani kabisa hawataki huawei wafanye business USA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbna huzungumzii product za US zilizo pigwa ban china kama google.facebook. kwa sababu Kama hiyo ya usalama wa taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachina wenyewe wanataka ushahidi wa kisheria tu ndio maana wameweka wame imepeleka mahakamani serikali ya marekani

Kuban mitandao ya kijamii kule china sheria zao zinaruhusu mkuu ile sio nchi ya kidemocracia ni socialist ile hata uhuru wa kujieleza hakuna kule na ndio utamaduni wao na USA wanalielewa hilo kwa hiyo kuban social media ni kitu cha kawaida sana kwao ila sio kwa USA ambaye ndie anajiita mfano wa democracy duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu unaona sawa kwa US kubaniwa ila china kubaniwa wana onewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku iphone zitazuiliwa china,hapa apple watapata pigo kubwa sana hii michezo haihitaji hasira.

Sent using Jamii Forums mobile app

Iphone aitengenezwi china peke ake foxconn ni campany kubwa ikifanya ivo itakosa kibali cha kutengeneza vifaa vya apple sasa ajira china ndo itakua tabu ila ingekua tanzania kwa sasa ingewezekana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa mkuu unaona sawa kwa US kubaniwa ila china kubaniwa wana onewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtu aliyesema China kaonewa,ukipata opportunity ya kufanya kitu unafanya marekani walizubaa wakaingizwa mkenge na china ikajiimarisha

Swali la msingi na hata wengine nimewauliza kwa nini USA walisaini mikataba kama hiyo kwa China kama hiyo ya transfer technology?

Maana china kipindi hicho ilikua ipo nyuma sana maana ilikua ni miaka 70 ambapo ilikua ni miaka 21 tu toka wapate uhuru halafu wakaingiza chaka nchi ambayo ni super power mpaka leo

Hapa china na wachina lazima tuwape credit mno wame fight sana kuwa hapo walipo sasa hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ni kubwa deficit kubwa ni bidhaa zao wenyewe ambao wenyewe washindwa kuzitengeneza makwao wakapeleka china halafu zikirudi USA zinakuja kama import na baadae zinaenda kuleta hiyo deficit

Bidhaa nyingi zinazoleta deficit kwa marekani ni za wamarekani wenyewe hapa unasemaje mkuu?

Maana ni kuanzia chupi,boxer,cosmetics,simu,computers mpaka nguo

Sasa hapa nani wakulaumiwa?je hata kama tarrifs zikiwa kubwa kiasi gani USA itaacha kuimport bidhaa zinazotengenezwa na kampuni zao wenyewe kama iphone,dell computers etc?

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo USA uzalishaji ni gharama kubwa wafanyakazi wanahitaji mishahara mikubwa mno. Kwahiyo China inampigia bao Kwa cheap labour . Na bado kuna mgombea Urais anaitwa Bernie Sanders anasema anataka kuongeza kima cha chini kiwe juu zaidi nafikiri ndio kiuiua USA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hazipo sasa hizo applications kule china wao wako comfortable na wechat zao na baidu yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo comfortable wap wakati wamefungiwa kutumia mitandao ya kigeni.kama wange kuwa comfortable wangefungulia tuone ushindani wa kweli.US yupo sahihi kama china alivyo sahihi kufungia products za US

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo USA uzalishaji ni gharama kubwa wafanyakazi wanahitaji mishahara mikubwa mno. Kwahiyo China inampigia bao Kwa cheap labour . Na bado kuna mgombea Urais anaitwa Bernie Sanders anasema anataka kuongeza kima cha chini kiwe juu zaidi nafikiri ndio kiuiua USA

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa umeongea swala la msingi ambapo marekani itapata sana shida kurudisha viwanda kwao kule kuna khaki za kila aina na moja ya sababu za ndani za viwanda kwenda China ni union workers,over regulations,over taxation,high cost of labour etc.

We fikiria upeleke kiwanda china ukazalishe halafu kirudi nyumbani kiki bado ni bei rahisi ukilinganisha na kilicho tengenezwa nyumbani

Na ndio maana china haitaki democracy kabisa inajua wataanguka.

Kweli nchi ikitaka iendelee weka dictator.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo comfortable wap wakati wamefungiwa kutumia mitandao ya kigeni.kama wange kuwa comfortable wangefungulia tuone ushindani wa kweli.US yupo sahihi kama china alivyo sahihi kufungia products za US

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio comfortability yao hiyo na wanaishi vizuri tu na wamezoea na wakizaliwa wanakuta hizo sheria na wanaenda nazo sambamba kama hutaki una hama china au unaenda jela no discussions na ndio maisha waliyo jichagulia umewahi kusikia wachina wanalalamika kuhusu mitandao ya kijamii?

Hao ni biashara kwenda mbele hapa ndio ulalamishi kwenda mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi inawapasa warudi wakatengeze simu kwao ili kuepuka yote hayo.

Kibaya hapo China ni soko la uhakika sana la hizo bidhaa na ukizingatia wana nguvu kubwa sana ya manunuzi

China kamawahi marekani kwa kufanya procteonism ambapo marekani ndio wamekumbuka sasa hivi kwa kupitia rais wao trump ndio maana umeona anasema america first

ameanza mpaka kupinga magari yanayo toka ujerumani na ujerumani akasema tunapeleka magari kwenu sababu tuna tengeneza magari yenye ubora zaidi na raia wa USA wanayapenda

Marekani ina deficit trade na nchi nyingi tu na ni kwa sababu walizubaa walilewa na mavita vita yasiyokua na mpango.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unatapatapa mkuu malezo mengi ushahidi amna.china ndo amenza kuban product za US acha aisome namba.
Punguza mahaba.


Over

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa maelezo Kamali. kinacho fahamika wame sitisha matumizi na sio manunuzi so Kama losi washakula

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui kama stock za Boeing nazo zimeshuka siku hizi mbili?

Boeing wao wana bembeleza airlines wawe watulivu wewe unakuja kutoa pumba zako hapa

Unadhani airbus wanaichukiliaje hiyo advantage?

muda si mrefu kuna Boeing Kama hiyo 737 max kutoka Stockholm kwenda Israel imerudi wakiogopa kupata majanga na walikua wamefika mpaka Romania

It is a serious issue kwa kampuni kama Boeing.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viwanda walivyojenga zamani vilienda wapi na kama vilihamishwa au vilikufa nini kilipelekea hivyo viwanda kufa?

Unajua kwa miongo hii miwili mitatu taifa la marekani liliijushugulisha sana na vita zisikua na mpango huku mwenzake china akiwa na kipaumbele cha biashara zaidi ni kama ni tu ilivyokua kwenye vita ya pili vya dunia ulaya wanashughulika na vita yeye marekani anafanya biashara na mpaka akatoboa

Sasa miongo hii mitatu USA kaijsahau na vita vita mwenzake china anafanya business huku russia anazidi kujipanua kule artic leo hii america anaanza kumaind kwamba kapoteza zaidi ya 7 trillions kwenye hivyo vita bila faida inayoeleweka labda zaidi zaidi kuuza silaha maana kama alifuata mafuta hawa wachina wanayachukua wa dezo sana bila hata mtutu wa bunduki na kuna kipindi USA wenyewe walishangaa sana hili kwa nini wao wanachukua mafuta kwa bunduki lakini china wanachota kwa mteremko tu.

Kupanga ni kuchagua,waanze kurudisha viwanda kwao na china ameisha acquire technology kwa kiwango kikubwa sana na cha zaidi soko la ndani analo

Kitakacho muwi ngumu USA na production cost kule ni kubwa mno hizo bidhaa anashindwa kufanya competition labda aanze kuwanyonya wafanyakazi wa marekani na kufuta union workers na idadi ya watu waiongeze kabisa na kuwe na high skilled cheap labour

Marekani iliweka tarrifs za kwenye aluminium ili magari yanayotoka Germany yawe gharama yasishindane na ya USA

Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani hakuwahi kujisahau kwenye uchumi hata mara moja,hiyo China yenyewe leo imekua tajiri sababu ya Marekani maana kampuni nyingi zilizo China ni za Marekani. Na sasa gharama za uzalishaji nchini China zinaanza kua juu pia na hii inapelekea kampuni nyingi kuhamisha shughuli zao za uzalishaji kwenye nchi nyingine jirani kama Vietnam, Indonesia,nk. Pia trade war nayo imechangia kampuni kuhamisha shughuli zao nchi nyingine. Na kwa sasa uchumi wa China umeshaanza kupungua nguvu/Kasi ya ukuaji kutokana na kupungua kwa export,nk.

Embu mkuu nitajie teknolojia hata moja iloyogunduliwa na China?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani hakuwahi kujisahau kwenye uchumi hata mara moja,hiyo China yenyewe leo imekua tajiri sababu ya Marekani maana kampuni nyingi zilizo China ni za Marekani. Na sasa gharama za uzalishaji nchini China zinaanza kua juu pia na hii inapelekea kampuni nyingi kuhamisha shughuli zao za uzalishaji kwenye nchi nyingine jirani kama Vietnam, Indonesia,nk. Pia trade war nayo imechangia kampuni kuhamisha shughuli zao nchi nyingine. Na kwa sasa uchumi wa China umeshaanza kupungua nguvu/Kasi ya ukuaji kutokana na kupungua kwa export,nk.

Embu mkuu nitajie teknolojia hata moja iloyogunduliwa na China?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi Trump anavyosema ata make america great again atakua anatuongopea si ndiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi Trump anavyosema ata make america great again atakua anatuongopea si ndiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sera yake ya kumake America great again imeleta mafanikio,uchumi unakua na baadhi ya viwanda vinaanza kufunguliwa tena kuanza uzalishaji (mfano,vya chuma/alumini), Mexico-canada-usa trade deal,nk.
Kuidhibiti China kuendelea kuiba teknolojia za kampuni za kigeni hasa za Marekani,na bado anataka WTO ifumuliwe iundwe upya sababu ni kama inaionyonya Marekani kumbuka kwenye WTO China anatambulika kama nchi inayoendelea na sio iliyoendelea wakati ni ya pili kwa uchumi mkubwa duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom