Hapo sawa tu na huawei walisema haita enda kwenye nchi ambazo hawata karibishwa.sasa mbona wewe maneno mengi yanakutoka USA wakitaka kufanya wanachokifanya kwa China? kwani ni lazima China wawe USA,waende na wao kwingine sio lazima USA,hapo vipi?
Shida ya usa wana pressure wengine nao wamuunge mkono kuigomea huawei kwa interest zake
Jana wametoa statement kwamba India isinunue mafuta kutoka Venezuela na nchi nyingine nazo zifuate hivyo yani USA akikataza kitu kwa interest zake anataka kila mtu afanye hivyo au Venezuela naye ana nuclear kama iran nini?
Sent using Jamii Forums mobile app