Inawezakana kabisa kwa soko la china kama ikitokea iPhone kupigwa ban china
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezakana kabisa kwa soko la china kama ikitokea iPhone kupigwa ban china
Kuwa Open Source haikupi uwezo wa kutengeneza OS yako kupitia wao. Huo ni uongo.Ulichosahau ni kwamba android OS ni open source kama Linux au hauelewi maana ya open source applications or operating systems
Sent using Jamii Forums mobile app
USA wakifanya vitu wao ni sawa tu ila sasa wakifanyiwa wao watakuja na sanctions zisizo mithirika.Sio ulaya tu, Dunia nzima.
Malcom sijui kapotelea wapi huyu angetupa elimu zaidi hapa yupo vizuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri porojo siyo elimu au unajua elimu ni kitu gani?
Twitter, Facebook, whatsapp, instagram, Google translator, nk ni products za US, vipi US wakizingua zisitumike kwenye Hizo OS za kichina! Je, Samsung ama Sony unadhani watakuwa tayari kutumia hizo OS za kichina ambazo hazina apps pendwa za wateja wao?! Mfano Samsung akienda Sony anabaki na hapo utakuwa mwisho wa Samsung mwanzo wa Sony kutamalaki make sisi wateja tutazifuata twitter na instagram ziliko
Hivi unajua kwamba kule china google play store ilipigwa ban muda mrefu tu?wachina wanatumia app zao wenyewe.Twitter, Facebook, whatsapp, instagram, Google translator, nk ni products za US, vipi US wakizingua zisitumike kwenye Hizo OS za kichina! Je, Samsung ama Sony unadhani watakuwa tayari kutumia hizo OS za kichina ambazo hazina apps pendwa za wateja wao?! Mfano Samsung akienda Sony anabaki na hapo utakuwa mwisho wa Samsung mwanzo wa Sony kutamalaki make sisi wateja tutazifuata twitter na instagram ziliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri porojo siyo elimu au unajua elimu ni kitu gani?
Mpaka kusema uongo,kuwa mchawi zote hizo ni elimu au unafikiri elimu mpaka uwe na desa(kitini)
Sent using Jamii Forums mobile app
China ina watu 1.4B, na wenye kipato cha kati ni zaidi ya 700mil, up hapo?Twitter, Facebook, whatsapp, instagram, Google translator, nk ni products za US, vipi US wakizingua zisitumike kwenye Hizo OS za kichina! Je, Samsung ama Sony unadhani watakuwa tayari kutumia hizo OS za kichina ambazo hazina apps pendwa za wateja wao?! Mfano Samsung akienda Sony anabaki na hapo utakuwa mwisho wa Samsung mwanzo wa Sony kutamalaki make sisi wateja tutazifuata twitter na instagram ziliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu google play store kule china imepigwa ban kule china wanatumia application stores zao ngoja nikutajie ambazo ni popularKuwa Open Source haikupi uwezo wa kutengeneza OS yako kupitia wao. Huo ni uongo.
Unachopewa ni certain amount of modifications kwenye Adroid.
Unatengenezaje OS yako wakati play store ipo US?
Wondows OS ilikufa kwa kukosa apps kwenye store yao.
Hao wachina wanapata wapi store ya apps zaid ya apple store na play store?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiletewa huku simu hiyo hiyo ya china application ulizozizoea utazipata ila ukiwa kwao china utatumia application zao wa china unafikiri hawa wachina hawana akiliTwitter, Facebook, whatsapp, instagram, Google translator, nk ni products za US, vipi US wakizingua zisitumike kwenye Hizo OS za kichina! Je, Samsung ama Sony unadhani watakuwa tayari kutumia hizo OS za kichina ambazo hazina apps pendwa za wateja wao?! Mfano Samsung akienda Sony anabaki na hapo utakuwa mwisho wa Samsung mwanzo wa Sony kutamalaki make sisi wateja tutazifuata twitter na instagram ziliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata huko marekani elimu ya uchawi ipo na hata ya ulaghai pia na ndio maana wakina carl peters walikua na mikataba ya ulaghai unadhani hivi vitu tumevitoa wapiUtasikia mara bashite kusema hivi, mwingne anashangaa tukio la mohamed kutekwa, mara marufuku mikutano ya kisiasa ila slow slow na bashiri ruksa. Kumbe ndo elimu ya kibongo! Bas sishangai ndo maana tuko hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
iPhone XR inauzwa $1000??...hapa umetupiga kambaSoma vizuri hizo screenshots kutoka forbes nafikiri utaelewa vizuri hawa Samsung na huawei ni maker wakubwa wa simu duniani na wamempita apple lakini apple ndio ana market kubwa zaidi kutokana na kua na revenue kubwa kuzidi wote hao
Ni hivi hauwei na samsung wamejikita kwenye customer wa kawaida sana ambapo wananunua devices kwa bei rahisi ila apple amebase sana kwenye high end profile devices na high end consumers ndio maana hapo umeona ana revenue kubwa sana
IPhone XR inauzwa dollar 1000,je hi dollar 1000 unapata hauwei ngapi za mtu wa kawaida?View attachment 1040818View attachment 1040819View attachment 1040820
Sent using Jamii Forums mobile app
Windows OS ipi ilikufa hiyo?Kuwa Open Source haikupi uwezo wa kutengeneza OS yako kupitia wao. Huo ni uongo.
Unachopewa ni certain amount of modifications kwenye Adroid.
Unatengenezaje OS yako wakati play store ipo US?
Wondows OS ilikufa kwa kukosa apps kwenye store yao.
Hao wachina wanapata wapi store ya apps zaid ya apple store na play store?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa comment yako nime screenshot ukurasa wa amazon angalia kwa macho yako mwenyewe.iPhone XR inauzwa $1000??...hapa umetupiga kamba
Labda kama ulikuwa unamaanisha iPhone X,Xs
Kutoka apple.com bei ya iPhone xr ni hiyo hapoAsante kwa comment yako nime screenshot ukurasa wa amazon angalia kwa macho yako mwenyewe.View attachment 1041368
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi na IOS inafanyaje kazi uko.Hivi unajua kwamba kule china google play store ilipigwa ban muda mrefu tu?wachina wanatumia app zao wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa unamaanisha nini??
Kazi kweli kweli! Ushasema ilipigwa ban, ni kama vile leo jamii forum ipigwe ban huwezi kupost hapa utalazimika upost kwingine kama unataka kupost. Yaani ni kama vile ubwabwa upigwe ban utalazimika usiule hata kama unaupenda. Hadi hapa nadhani ushajua hujajibu hoja, haya basi jibu sasa.Hivi unajua kwamba kule china google play store ilipigwa ban muda mrefu tu?wachina wanatumia app zao wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app